Kwendraaaa huko, wewe ni nani? Haya hima katuletee Mbappe acheze.
AsanteNikiona tu Jina la Onana nasikia Kukasirika mno kwani nimeshasema si Mchezaji anayefaa Kuichezea Simba SC yetu.
Safi sana kwa kuwepo huyo Mpuuzi Onana hata katika Benchi naomba tufungwe mengi na katika Derby tufungwe tena.