Kwenye kubeti, kuna watu wanashindaga hii Perfect 12?

Kwenye kubeti, kuna watu wanashindaga hii Perfect 12?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Binafsi huwa sibeti na siku nikiamua kubeti huwa nataka nishinde mzigo wa maana. Kwa hiyo ama nitaweka pesa nyingi au nitabeti matokeo ambayo siyo mategemeo ya wengi (yenye odds kubwa sana) kama hisia zangu zinaniambia hivyo.

Siku hizi nimetokea kubeti zaidi hii Perfect 12 maana nikiangalia mkeka mzima ukikubali vishida vyangu vingi vidogo vidogo nitavimaliza. Mara nyingi natokea kupatia 5 hadi 6 kati ya hizo mechi 12.

Hivi kuna watu wanashindaga hii Perfect 12 kwa kupatia mechi zote 12?
 
Binafsi huwa sibeti na siku nikiamua kubeti huwa nataka nishinde mzigo wa maana. Kwa hiyo ama nitaweka pesa nyingi au nitabeti matokeo ambayo siyo mategemeo ya wengi (yenye odds kubwa sana) kama hisia zangu zinaniambia hivyo.

Siku hizi nimetokea kubeti zaidi hii Perfect 12 maana nikiangalia mkeka mzima ukikubali vishida vyangu vingi vidogo vidogo nitavimaliza. Mara nyingi natokea kupatia 5 hadi 6 kati ya hizo mechi 12.

Hivi kuna watu wanashindaga hii Perfect 12 kwa kupatia mechi zote 12?
Ndiyo
 
Ngumu sana.Nimecheza sana sportpesa, betpawa jackport za 13, 17 n.k tiketi zaidi ya 10 ila huwa naishia 8/13 au 10/17
 
Binafsi huwa sibeti na siku nikiamua kubeti huwa nataka nishinde mzigo wa maana. Kwa hiyo ama nitaweka pesa nyingi au nitabeti matokeo ambayo siyo mategemeo ya wengi (yenye odds kubwa sana) kama hisia zangu zinaniambia hivyo.

Siku hizi nimetokea kubeti zaidi hii Perfect 12 maana nikiangalia mkeka mzima ukikubali vishida vyangu vingi vidogo vidogo nitavimaliza. Mara nyingi natokea kupatia 5 hadi 6 kati ya hizo mechi 12.

Hivi kuna watu wanashindaga hii Perfect 12 kwa kupatia mechi zote 12?
Cheza za mechi chache chache, kama tano hivi, uwe unapata elfu hamsini hivi. Jackpot usiiwekee sana kipaumbele, ila si vibaya kuicheza mara moja kwa wiki
 
Ngumu sana.Nimecheza sana sportpesa, betpawa jackport za 13, 17 n.k tiketi zaidi ya 10 ila huwa naishia 8/13 au 10/17

Cheza za mechi chache chache, kama tano hivi, uwe unapata elfu hamsini hivi. Jackpot usiiwekee sana kipaumbele, ila si vibaya kuicheza mara moja kwa wiki
Hivi kinacholeta ugumu ni nini? Najua kupatia mechi 12+ zote si jambo dogo ila naona kama ni jambo linalowezekana hivi.

Ngoja nitajaribu kubadili style ya uchezaji nione itakuwaje.
 
Hivi kinacholeta ugumu ni nini? Najua kupatia mechi 12+ zote si jambo dogo ila naona kama ni jambo linalowezekana hivi.

Ngoja nitajaribu kubadili style ya uchezaji nione itakuwaje.
Ugumu unakuja pale underdog anapompiga mbabe, au anapokomaa na kupata sare. Sasa hiyo inaweza ikatokea kwa mechi kadhaa, na hapo ndipo mtu anapopoteza
 
Ugumu unakuja pale underdog anapompiga mbabe, au anapokomaa na kupata sare. Sasa hiyo inaweza ikatokea kwa mechi kadhaa, na hapo ndipo mtu anapopoteza
Kuna uzi nakumbuka tuliwahi kujadili kuhusu uwezekano wa hawa jamaa kuwa wanatupoteza maboya kwenye baadhi ya odds. Maana kwa hizi jackpots, wanachanganya na vitimu vingine hauvijui na viligi vyao vidogo, ukikazania kuangalia odds pekee bila kuzijua timu hasa, ni rahisi kupotezwa. Mimi naona kama hili nalo linachangia sana.

Napanga kufanya kautafiti kadogo kataniambia ukweli wa hili nililosema.
 
Kuna uzi nakumbuka tuliwahi kujadili kuhusu uwezekano wa hawa jamaa kuwa wanatupoteza maboya kwenye baadhi ya odds. Maana kwa hizi jackpots, wanachanganya na vitimu vingine hauvijui na viligi vyao vidogo, ukikazania kuangalia odds pekee bila kuzijua timu hasa, ni rahisi kupotezwa. Mimi naona kama hili nalo linachangia sana.

Napanga kufanya kautafiti kadogo kataniambia ukweli wa hili nililosema.
Kuna siku nilijipa homework ya kupitia misimamo ya ligi ili kukwepa utegemezi wa odds zao wanazotutegeshea, bado niliangukia pua

1721052590033.png
 
Kuna siku nilijipa homework ya kupitia misimamo ya ligi ili kukwepa utegemezi wa odds zao wanazotutegeshea, bado niliangukia pua

View attachment 3043156
Uliscreenshot odds walizoweka wao ili ulinganishe na matokeo? Maana tiketi wanayokupa haionyeshi odds zilivyokuwa kwa hiyo inakuwa ngumu kucheki.

Nafikiri njia nzuri ni hiyo uliyofanya. Ni kupitia hata kwa haraka misimamo ya ligi na mechi mbili tatu za nyuma za timu husika. Hiyo kidogo inapunguza kutegemea zaidi odds.
 
Lakini niliona kuna improvements kidogo kuliko kufuata odds zao moja kwa moja
Hilo nimeliona. Kwa idadi ya matokeo uliyopatia hauwezi kuyapata kwa kuchagua random au kwa kutegemea odds zao pekee.

Matokeo pekee ambayo ulikuwa off ni hayo ya 5-0, mengine umepatia au ulikuwa close sana.
 
mimi nimepigwa nyingi ila nilishawah kula laki 2 na ushee kwenye jackport
 
Back
Top Bottom