Kwenye kutafuta kuna mambo mengi!!!

Kwenye kutafuta kuna mambo mengi!!!

Kunawanaoomba msaada hata hiyo AI anakwambia umuingizie/umuwekee/umfanyie....🙁.

Ukimtumia nyaraka kwenye email azisome na kuprint anakwambia naomba niprintie huko ofisini kwako ntazipitia muda wa lanchi halafu utanielezea kunielewesha maana ya hizo nyaraka...🙄.


Usiache kujitoa ikiwa Una uwezo wa kufanya hivyo Fanya - ndo maisha yanatutaka hivyo .

Mimi napenda kuwa sehemu ya kuendeleza mambo zaidi .

So Madam endelea kuwajibika utazidi kuwa active than ever.
 
Back
Top Bottom