Kwenye maisha

PerfectTz

Senior Member
Joined
Jun 27, 2019
Posts
108
Reaction score
206
Tabu,shida na changamoto zako ndio sababu ya wewe kutafuta mafanikio zikubali alafu zikabili...na kumbuka mshukuru Mungu kwamba amekuwa mwenye fadhila, Rehema na kukupendelea kipekee.

Neno gani lingine faraja unalolijua kwa ajili ya wapambanaji wenzako humu? Drop your comments twende sawa
 
We kutoboa sahau utaishia kupata hela ya kula na kodi
 
Man never surrender [emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…