We kutoboa sahau utaishia kupata hela ya kula na kodiTabu,shida na changamoto zako ndio sababu ya wewe kutafuta mafanikio zikubali alafu zikabili...na kumbuka mshukuru Mungu kwamba amekuwa mwenye fadhila, Rehema na kukupendelea kipekee.
Neno gani lingine faraja unalolijua kwa ajili ya wapambanaji wenzako humu? Drop your comments twende sawa
Man never surrender [emoji123]Tabu,shida na changamoto zako ndio sababu ya wewe kutafuta mafanikio zikubali alafu zikabili...na kumbuka mshukuru Mungu kwamba amekuwa mwenye fadhila, Rehema na kukupendelea kipekee.
Neno gani lingine faraja unalolijua kwa ajili ya wapambanaji wenzako humu? Drop your comments twende sawa