Naam, ili tujueYatajwe hayo mashirika husika
Hayo ni mashirika au unazungumzia ofisi za uma na binafsi?Kwenye mashirika haya wakuu kuna unafiki,majungu na uzandiki nimechoka aisee na watu wanaongoza kwenye majungu ni wale wenzetu wa ukerewe yaani sio poa kabisa sema tu mimi ni blessed man ukinipiga majungu ndiyo kwanza nazidi kusifiwa na kila mtu yaani imefikia hatua naomba watu wanipige majungu ili nipewe simu ama hakika wadau napenda nipigwe majungu
Cha kushangaza sasa hao watu wanaonipiga majungu mshahara ukichelewa ndiyo watu namba moja kuja kunikopa na kuja kulalamika shida mimi nawaona mburula ninachofanya ni kuwatukana na kuwa pesa kwa Riba ya asilimia 35 akili iwakae sawa dadeki
TRA ,TANESCOYatajwe hayo mashirika husika
Unalifahamu MDH? Wafanyakazi ngazi za juu ni nani?Hayo ni mashirika au unazungumzia ofisi za uma na binafsi?
International organizations and Well structured local organization majungu ni kidogo kazi mbele sababu hawaangalii majungu zaidi ya kazi. Japo majungu yanakuwepo ila kwa kiasi kidogo
Sasa taasisi zingine unakuta kuna ukanda, ukabila ,watu wasioelimika
#tafuta mashirika yalio well structured
Huko kwa kupita tu
Maoni tu
Well structured, unamaanisha nini?Hayo ni mashirika au unazungumzia ofisi za uma na binafsi?
International organizations and Well structured local organization majungu ni kidogo kazi mbele sababu hawaangalii majungu zaidi ya kazi. Japo majungu yanakuwepo ila kwa kiasi kidogo
Sasa taasisi zingine unakuta kuna ukanda, ukabila ,watu wasioelimika
#tafuta mashirika yalio well structured
Huko kwa kupita tu
Maoni tu
Ni wakerewe au wahaya manake hawa jamaa wana fitna balaa!Kwenye mashirika haya wakuu kuna unafiki,majungu na uzandiki nimechoka aisee na watu wanaongoza kwenye majungu ni wale wenzetu wa ukerewe yaani sio poa kabisa sema tu mimi ni blessed man ukinipiga majungu ndiyo kwanza nazidi kusifiwa na kila mtu yaani imefikia hatua naomba watu wanipige majungu ili nipewe simu ama hakika wadau napenda nipigwe majungu
Cha kushangaza sasa hao watu wanaonipiga majungu mshahara ukichelewa ndiyo watu namba moja kuja kunikopa na kuja kulalamika shida mimi nawaona mburula ninachofanya ni kuwatukana na kuwa pesa kwa Riba ya asilimia 35 akili iwakae sawa dadeki
Blessed man huwa hatangazi changamoto za kazini kwake kwasababu hizo changamoto hazimuhsu ila zinawahusu non blessed na lengo la majungu ni kumyoa mtu au kmshusha cheo mahala pa kaziKwenye mashirika haya wakuu kuna unafiki,majungu na uzandiki nimechoka aisee na watu wanaongoza kwenye majungu ni wale wenzetu wa ukerewe yaani sio poa kabisa sema tu mimi ni blessed man ukinipiga majungu ndiyo kwanza nazidi kusifiwa na kila mtu yaani imefikia hatua naomba watu wanipige majungu ili nipewe simu ama hakika wadau napenda nipigwe majungu
Cha kushangaza sasa hao watu wanaonipiga majungu mshahara ukichelewa ndiyo watu namba moja kuja kunikopa na kuja kulalamika shida mimi nawaona mburula ninachofanya ni kuwatukana na kuwa pesa kwa Riba ya asilimia 35 akili iwakae sawa dadeki
Hao Mdh nawafahamu ila viongozi wa juu siwafahamuUnalifahamu MDH? Wafanyakazi ngazi za juu ni nani?