Kwenye medani za Sheria Nani mkali Kati ya Lissu na Kibatala?

Kwenye medani za Sheria Nani mkali Kati ya Lissu na Kibatala?

Ubora wa mwasheria au wakili bora hupimwa kwa kesi walizosimamia


Tuweke mathalani kesi 10 kila mmoja za maana tuone hapo

.binafsi kwa kuzingatia haya namuona kibatala kuwa bora zaid lisu aliniangusha tu ambavyo alishindwa hata kujitetea kwa naibu spika aliposimamishwa kazi bungeni




Lisu ni muongeaji tu
Prof Kabudi kasimamia kesi ngapi mpaka sasa ??
 
Sheria kuwa pana sana haizui kupima ubora wa mwanasheria mmoja mmoja, ni kama vile timu za mpira zina washambuliaji, mabeki, walinzi, viungo na makipa lakini tuzo ya mchezaji bora kwa ujumla ipo pamoja na tuzo nyingine kwa kila nafasi.
I too, am a lawyer but I don't practise criminal law. Nafanya zaidi commercial particularly insurance. Sasa huwa ninajiuliza hawa laypersons kupima ubora wa mwanasheria wabatumia nini? Huwa ninashangaa sana nionapo hivi vituko vya kusema kwamba fulani ni mwanasheria bora kuliko fulani. All in all nadhani shida hapa huwa ni mihemko kuliko uelewa kuwa sheria ni pana sana kama ambavyo medicine iko pana sana
 
Sheria kuwa pana sana haizui kupima ubora wa mwanasheria mmoja mmoja, ni kama vile timu za mpira zina washambuliaji, mabeki, walinzi, viungo na makipa lakini tuzo ya mchezaji bora kwa ujumla ipo pamoja na tuzo nyingine kwa kila nafasi.
Kwa hiyo ingekuwa kwenye taaluma ya medicine tungeweza kusema kuwa cardiovascular surgeon ni bora zaidi ya neurosurgeon!?

Maana naona umeamua kulinganisha taaluma za kusomea na maswala ya michezo.

Sijui umewaza nini kuja na comparison ya taaluma ya sheria na mchezo wa mpira wa miguu
 
Mtoa mada,wanasheria wapo wa aina nyingi sana! Mfano unakuta huyu mzuri kwenye Criminal,lakini kwenye Katiba sio mzuri sana,mwingine kwenye Business law ni balaa,mwingine kwenye mikataba ni hatari mno! Hivi unajua kama Mzee Chenge ni moja ya wanasheria wazuri sana kwa hapa Tanzania?? Yeye ni mzuri kwenye sheria za mikataba,ndio maana hua anachungua loophole iko wapi,anapiga zake kimya! Njoo kwa Mzee Warioba ni mtamu sana kwenye sheria za majini na katiba! Sasa huwezi walinganisha hawa watu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja amelinganisha na wacheza mpira 😂😂😂😂
 
Niliwahi kumuuliza wakili msomi mmoja swali hili...Majibu yake ni kwamba kwa ujuzi wake wote ni wazuri ila kibatala yeye anamuona mzuri zaidi kwa sababu ameshinda kesi za prosecution kuliko lisu ambaye ameshinda kesi nyingi za defence hivyo yeye anaona kesi za prosecution ni ngumu zaidi hivyo anampendekeza kibatala.
Kwa mfumo wetu wa mahakama sidhani kama yuko sahihi sana. Kesi za defence katika nchi yetu ni ngunu sana kwa sababu kama mnavyoona Mahakama nayo ni kama sehemu ya mashtaka.
 
Back
Top Bottom