Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Ongeza na caf mana ndo wamesabishwa mmetolewa African champion leagueTff + Simba = na hujuma kwa yanga
#NGUVUMOJA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza na caf mana ndo wamesabishwa mmetolewa African champion leagueTff + Simba = na hujuma kwa yanga
#NGUVUMOJA
SawaInabidi uwaulize pia kwa nini una gari yako na umelia kodi zote lakini unasimamishwa saa nzima barabarani kusubili mtu mmoja apite kwanza?
Nakukumbusha tu hata malaika mbinguni hawako sawa, na hata wacha Mungu mbinguni hawatakuwa na daraja sawa.
Usitafute usawa dunia unajiumiza nafsi yako bure.
TFF iliitisha mkutano na wanahabari pamoja na vilabu kuhusu tareh 25 kwa hiyo vilabu hupeleka wahusika...hapo manara hakuonekana kama mhusika wa klabu ya yanga...akiwa msemaji kulikoni..,??Kwani ulikuwa mkutano wa TFF na wasemaji wa clubs?
Nikikuwa nitoke Dom hapa kesho mchana ili niwapeleke wajukuu zangu Jumamosi VIP A. Sasa maswala ya kuomba mualiko yanatoka wapi?Out of topic
Hivi kwa nini hawauzi ticket za VIP A? nini kimetokea, wanasema kuna watu maalum wataalikwa, why? Sisi tunaotaka VIP A na hatujaalikwa inakuwaje
Ndugu yangu wamenikatisha tamaa nimeahirisha kwenda nitauangalia kwenye Runinga inatosha, nahisi kuna harufu ya upigajiNikikuwa nitoke Dom hapa kesho mchana ili niwapeleke wajukuu zangu Jumamosi VIP A. Sasa maswala ya kuomba mualiko yanatoka wapi?
Halafu mapato yaliyotangazwa kupatikana Ben Mkapa Stadium si ya kweli.
TFF na Bodi ya Ligi ni makanjanja.
Kuna wageni wengi wa heshima wame book VIP ANdugu yangu wamenikatisha tamaa nimeahirisha kwenda nitauangalia kwenye Runinga inatosha, nahisi kuna harufu ya upigaji
Ukiwauliza sababu ya msingi ya kuzuia watu VIP A, watakupa jibu la siasa tu