Kwenye ndoa watu wanaviziana

Kwenye ndoa watu wanaviziana

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Lile dhumuni halisi la upendo, kuaminiana na kuwa na dhati ya mpaka kuzikana ni wachache sana wenye hiyo mutual intention, ni either mmoja awe anamvizia mwenzie au wote kwa pamoja.

Akili na uwezo wote anapeleka kwenye kulinda mali zake such as kuandika majina yake kwenye vitu vyake kuogopa huko baadaye huyu anaweza nigeuka.

Kufanya project za siri, kutokumshirikisha mwenzako kiwango cha pesa zako, yaani ilimradi kuviziana tu.

Lile lengo la kuwa pamoja hata halipo kabisa.

Wewe ukiwa kwenye side ya kuviziwa unaweza umizwa sana tena ukararuliwa kila mahali, maana watu wengi wenye mioyo safi ni wachache kiasi kwamba anaye kuvizia muda mwingine sio lengo lake lakini ashakutana/ashashuhudia mbwa mwitu wengi wenye ngozi ya kondoo.

Kama upo kwenye ndoa/upo na mwenza na moyo wako upo safi kabisa lakini unahisi uliyenae maybe anakuvizia ujae kwenye mfumo....endelea kuwa mwema tu, ipo siku atauona wema wako na ataacha hizo habari za kuishi na wewe kimachale machale na kutenda dhumuni la ndoa.

Ila watu wanatakiwa wajue haya mambo yanaumiza sana kuingia kwenye ndoa na wasiwasi wa namna hiyo. Hilo sio lengo la ndoa.

Wakati fulani tulishasuluhisha jambo fulani lakini katika huo ugomvi wa wanandoa.

Mke alitoa 50% ya hela ya kiwanja na mume nae alitoa.

Ila mke akawa anataka kuandika jina lake na mwanaume nae anataka jina lake liandikwe. It was real sad kwa sababu wote walikua wanaviziana. WALIKUJA KUACHANA.
 
Ndoa 😃
Screenshot_20240605-141621~2.jpg
 
Mume alioa mpumbavu na pia mume hakuwa akijitambua,huu ujinga wa 50/50 unabomoa sana ndoa za vijana wa siku hizi

Mwanaume ndiye unaeoa ukitegemea unaemuoa atazaa watoto sasa kwanini uanze kutegeana na mkeo namna ya kuiletea mafanikio familia yako?mwanaume unatakiwa kila kitu ukifanye wewe kiwanja nyumba ada za watoto etc vyote ni juu yako.
 
Mungu asaidie tu ila ndoa ina mitihani sana yani😎!

Mkiwa oriented na mali na ubinafsi hamuwezi fika popote. Mimi huwa nafikiria watoto wangu tu zaidi. Kuhusu mali najua mke yuko concerned nazo sana ila kwakuwa ana watoto ni haki yake kufikiria hilo so hainisumbui. Ata ikatokea sipo duniani najua watoto watakuwa safe.
 
Lile dhumuni halisi la upendo, kuaminiana na kuwa na dhati ya mpaka kuzikana ni wachache sana wenye hiyo mutual intention, ni either mmoja awe anamvizia mwenzie au wote kwa pamoja.

Akili na uwezo wote anapeleka kwenye kulinda mali zake such as kuandika majina yake kwenye vitu vyake kuogopa huko baadaye huyu anaweza nigeuka.

Kufanya project za siri, kutokumshirikisha mwenzako kiwango cha pesa zako, yaani ilimradi kuviziana tu.

Lile lengo la kuwa pamoja hata halipo kabisa.

Wewe ukiwa kwenye side ya kuviziwa unaweza umizwa sana tena ukararuliwa kila mahali, maana watu wengi wenye mioyo safi ni wachache kiasi kwamba anaye kuvizia muda mwingine sio lengo lake lakini ashakutana/ashashuhudia mbwa mwitu wengi wenye ngozi ya kondoo.

Kama upo kwenye ndoa/upo na mwenza na moyo wako upo safi kabisa lakini unahisi uliyenae maybe anakuvizia ujae kwenye mfumo....endelea kuwa mwema tu, ipo siku atauona wema wako na ataacha hizo habari za kuishi na wewe kimachale machale na kutenda dhumuni la ndoa.

Ila watu wanatakiwa wajue haya mambo yanaumiza sana kuingia kwenye ndoa na wasiwasi wa namna hiyo. Hilo sio lengo la ndoa.

Wakati fulani tulishasuluhisha jambo fulani lakini katika huo ugomvi wa wanandoa.

Mke alitoa 50% ya hela ya kiwanja na mume nae alitoa.

Ila mke akawa anataka kuandika jina lake na mwanaume nae anataka jina lake liandikwe. It was real sad kwa sababu wote walikua wanaviziana. WALIKUJA KUACHANA.
SaSa hapo si muandike majina yote wawili yaani Mr and Mrs fulani?
 
Lile dhumuni halisi la upendo, kuaminiana na kuwa na dhati ya mpaka kuzikana ni wachache sana wenye hiyo mutual intention, ni either mmoja awe anamvizia mwenzie au wote kwa pamoja.

Akili na uwezo wote anapeleka kwenye kulinda mali zake such as kuandika majina yake kwenye vitu vyake kuogopa huko baadaye huyu anaweza nigeuka.

Kufanya project za siri, kutokumshirikisha mwenzako kiwango cha pesa zako, yaani ilimradi kuviziana tu.

Lile lengo la kuwa pamoja hata halipo kabisa.

Wewe ukiwa kwenye side ya kuviziwa unaweza umizwa sana tena ukararuliwa kila mahali, maana watu wengi wenye mioyo safi ni wachache kiasi kwamba anaye kuvizia muda mwingine sio lengo lake lakini ashakutana/ashashuhudia mbwa mwitu wengi wenye ngozi ya kondoo.

Kama upo kwenye ndoa/upo na mwenza na moyo wako upo safi kabisa lakini unahisi uliyenae maybe anakuvizia ujae kwenye mfumo....endelea kuwa mwema tu, ipo siku atauona wema wako na ataacha hizo habari za kuishi na wewe kimachale machale na kutenda dhumuni la ndoa.

Ila watu wanatakiwa wajue haya mambo yanaumiza sana kuingia kwenye ndoa na wasiwasi wa namna hiyo. Hilo sio lengo la ndoa.

Wakati fulani tulishasuluhisha jambo fulani lakini katika huo ugomvi wa wanandoa.

Mke alitoa 50% ya hela ya kiwanja na mume nae alitoa.

Ila mke akawa anataka kuandika jina lake na mwanaume nae anataka jina lake liandikwe. It was real sad kwa sababu wote walikua wanaviziana. WALIKUJA KUACHANA.
As days go by naona hawa kataa mdoa kama vile watashinda.
Anyways mbususu zenyewe zimepanda bei wacha nipige nyeto tuu
 
Back
Top Bottom