Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Mchezaji anakuwa 'offiside' pale tu anapopokea pasi ilihali yupo mbele zaidi ya mchezaji wa mwisho wa timu pinzani kuelekea lango la timu pinzani.
Na eneo ambalo sheria ya 'offiside hutumika ni eneo lote la nusu ya timu pinzani.
Endapo mpira umerushwa basi hapo hakuna offiside, kinyume na hapo mpira wowote utaoguswa na mchezaji aliyeotea utahesabiwa ni faulo ya offside...
Ongeza na hii:
Mpira wa GOAL KICK hauna offside