Kwenye Ruzuku ya CHADEMA ipo inayotokana na kura walizopata akina Halima Mdee na wenzake majimboni!

Kwenye Ruzuku ya CHADEMA ipo inayotokana na kura walizopata akina Halima Mdee na wenzake majimboni!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katika wale Wabunge 19 Wenye mgogoro na Chadema wako waliogombea kwenye Majimbo na walipata kura nyingi tu japo hazikutosha mfano Mdee, Kaboyoka, Bulaya, Jesca, Makamba, Mwaifunga nk na kwa Kanuni jumla ya kura za Wagombea Ubunge majimboni na kura za mgombea Urais ndio huingizwa kwenye formula na kukokotoa Ruzuku

Ndio sababu wakati wa shujaa Magufuli Ruzuku za Chadema na CUF zilikuwa zinapungua kadri Wabunge wa Vyama hivyo wanavyounga Juhudi

Na Hata komredi Polepole alikuwa haangaiki na Wabunge ambao hawakuwahi kugombea kwenye Jimbo

Ni hilo tu mlitazame mnapotafakari msamaha 😂🔥
 
Covid 19 wanapatikanaje ungeanzia hapo.Usikimbilie kuvuka mto kabla haujaufikia.
 
Back
Top Bottom