Kwenye Sekta ya Afya Rais Dr. Hussein Mwinyi amefanya Mageuzi, tumpe maua yake

Kumbuka huyo ni Rais Si waziri wa AFYA.

Ongea zaidi.
 
Nami nimpongeze Mhe. Mwinyi na team yake ya SUK. Ila naomba aboreshe usafi mitaani. Anaweza kupanga siku moja kwa wiki kwa ajili ya usafi maeneo yanayozunguka wananchi. Wananchi wafanye usafi wao. Hili lisishirikishe wadau, ili kuwaonyesha kuwa hata sisi tunaweza kufanya kazi zinazotuhusu. Pia tujiepushe na kuomba misaada kwa vitu tunavyoviweza kufanya hasa kwenye usafi.
Tukiwa wasafi tutaondoa magonjwa mengi na hospital hazitakuwa na umuhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…