Kwenye suala la mapenzi, mabinti wa kitanga ni undisputed

Tanga kwenye Mapenzi yani Nawapa Alama zote Mia moja Keshi, ila hizi Shubaamiti za Kichaga hakuna kitu kabsa.
 
Huu uzi umenikumbusha Mahaba ya Mtoto wa kitanga Sophy aisee Naludia tena Aisee hawa Watt wa kitanga wanawez kkufanya hata Ukakufuru.
 
Kwahiyo mkuu huyu Mwahija ndiyo umeamua kuturingishia tu?
Na ukienda Tanga kutafuta maisha, kama umeoa, unaweza telekeza familia yako.

Watanga wapo serious sana kwenye issue za mapenzi.
Apostle Tanga sehemu gani tukayatafute maisha na sisi huko?
 
Mtoto Zays kwanin unanifanya hivyo aisee,nimeona huu uzi nikakukumbuka mpenzi
 
Tanga jau, ukienda na mentality ya kupata demu unatoka kapa..
 
Kujua mapenz ni uchaguzi wa mtu siku hizi.
U naweza kutokea mwanza na ukaamua kuwa mbunifu kwenye Mambo hayo Hadi uliye nae ashangae
 
Ninaye mdigo akinitingisha nachanganyikiwa .
 
Apostle Kuna MUUJIZA....Nini kimetokeaa...๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Šโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธ๐Ÿ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ