Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
HahahahahaahhahMi nilipata dem wa kikuria akawa ananinolea panga, nikifika ananiambia babe nimekuandalia panga kwaajili ya kunipiga , nikikataa kumpiga analia anasema simpendi sina wivu na yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaahhahMi nilipata dem wa kikuria akawa ananinolea panga, nikifika ananiambia babe nimekuandalia panga kwaajili ya kunipiga , nikikataa kumpiga analia anasema simpendi sina wivu na yeye
Njoo nikufundishe bureee kabisa lolNatafuta mdada mtanga awe kungwi wangu
Umefunga PM sasa aunt kungwi 😍🤗njoo nikufundishe bureee kabisa lol
🤣🤣🤣wewe yanakusaidia nini ukishayajua?? umeisoma thread kweli?? umeambiwa kwenye elimu ni kagera unataka kujua huku iwe vipi sasa
😂😂😂 Hivi kumbe ulikua serious?? Mwenzio nikajua unatania.Umefunga PM sasa aunt kungwi 😍🤗
Broh, baada ya show, dushe linafanyiwa massage. Hata kama hukuwa na mpango wa kuendeleza game, unajikuta unaendelea tu 😅😅.Una mwamba kwa kusifia tu uko vizuri,unasifia Hadi mtu unahisi unaangalia video. Unasifia Kama yule jamaa wa Jambo na vijambo. [emoji119]
Ila watanga hapana,kitendo Cha kwenda bafuni kisosi Cha chai na kigoda ili ukioga ukae na makende yasiguse chini ila yamwagikie kwenye kisosi,nimewavulia kofia.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mahusiano kadhaa hayakufanikiwa kudumu. Ila huyu niliyenae sasa, tuna mwaka wa nne sasa, mambo still ni moto kama ndio tunaanza. Hatujaoana badoSeriously nilikuwa nasoma expecting useme mwishowe umemuoa,
mmeishi miaka mingapi hampoi hamboi,
Penzi la kitanga shatashata kama jipya kumbe mmeishi miaka,
kumbe baada ya kufanyiwa yooote hayo mwisho wake ni kubadilisha makabila 😂,
Me ngoja nikamate NSENENE nikauze
View attachment 2500426
Niko serious hivyoo 😁 nataka nikamnogeshe mtoto wa mtu😂😂😂 hivi kumbe ulikua serious?? mwenzio nikajua unatania
Sina uhakika kuhusu limbwata, na sijawahi fanyiwa limbwata. Ukishazoea mapenzi ya kibabe, ukikutana na mahaba ya kitanga, utahisi wanataka kukuibia, kumbe ndivyo walivyo.Nimesoma hapa nkaanza kucheka...ni kawahida yao kufanya hivo ili aiteke akili yako ili usifurukute na akuendeshe ilo ndo lengo..na kama ajakupata kwenye vitendo vyake basi limbwata linafatia