OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Toa ahadi ya kuliwa taquo kama una uhakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FT: Simba Sc 2 : 1 Young AfricanMechi ya tarehe 19
Ambayo itaikutanisha miamba ya Kariakoo yaani Simba na Yanga
Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu ya Prince Dube dk ya 17, Azizi ki dk 39 na Duke Abuya dk ya 76. Goli pekee la Simba limefungwa na Ngoma
Tumepambana kwenye ulimwengu wa roho kubadilisha japo Simba apate sare imeshindikana.
Matokeo yako ivo,
Wengine subiri marudio ila ukweli ni kwamba game imeisha na mnyama kanyolewa
Poleni mtani Simba kwa kipigo cha 5 mfululizo
Khaa.Toa ahadi ya kuliwa taquo kama una uhakika
Yaani Nzengeli, Mzize na Bacca hawatatupia?Mechi ya tarehe 19
Ambayo itaikutanisha miamba ya Kariakoo yaani Simba na Yanga
Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu ya Prince Dube dk ya 17, Azizi ki dk 39 na Duke Abuya dk ya 76. Goli pekee la Simba limefungwa na Ngoma
Tumepambana kwenye ulimwengu wa roho kubadilisha japo Simba apate sare imeshindikana.
Matokeo yako ivo,
Wengine subiri marudio ila ukweli ni kwamba game imeisha na mnyama kanyolewa
Poleni mtani Simba kwa kipigo cha 5 mfululizo
Kwa hiyo wewe unataka wafanyeje eti mbumbumbu?Sema simba nayo awamu hii imekua na viongozi mizigo haiwezekani utopolo waifunge team ×3 mfululizo na huenda jumamosi ikawa ya nne sijui sikuizi mashabiki wasimba nao wamekua midebwedo wataishia kuambiwa mpira ni matokeo matatu ligi ni defu tutajupanga ubaya ubwele afu wanaishia kucheka cheka tu
Labda roho ya pakaMechi ya tarehe 19
Ambayo itaikutanisha miamba ya Kariakoo yaani Simba na Yanga
Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu ya Prince Dube dk ya 17, Azizi ki dk 39 na Duke Abuya dk ya 76. Goli pekee la Simba limefungwa na Ngoma
Tumepambana kwenye ulimwengu wa roho kubadilisha japo Simba apate sare imeshindikana.
Matokeo yako ivo,
Wengine subiri marudio ila ukweli ni kwamba game imeisha na mnyama kanyolewa
Poleni mtani Simba kwa kipigo cha 5 mfululizo
Kesho tunakata ushindi tu full stop binti utopoloKwa hiyo wewe unataka wafanyeje eti mbumbumbu?