Kwenye Utawala wa awamu ya 5, Viongozi wa Chadema walikamatwa, walitekwa, walifungwa jela, walipotezwa, walijeruhiwa na wengine waliuawa

Unatukosea sana kumuita huyu Dr. Hakuwa Dr huyu. Na ndiyo sababu akamuua Ben Sa8, baada ya kuandika namna alivyofoji huo uDr. Huyu anapaswa kuitwa Diktata jiwe.
Udr. alikuwa nao hata kabla hajawa rais, tatizo lenu Chadema mkikaa na mume zenu huko mnatiana vidole tuu badala ya kujadili mambo yenu
 
Pia uache kutoa sehemu yako ya nyuma kama burudani ya wanaume kwa kuheshimu huu mwezi
 
Itapendeza sana kama ukifanikiwa kutunga kitabu
 
Kumebadilika nini raisi Samia,makamo Mpango,pm Majaliwa nini kimebadilika au chadema wapo madarakani!
Kwa sasa watu hawamiminiwi risasi kama wapo vitani. Hayo ndo mambo uliyoyapenda, sasa hayapo una sononeko kuu
 
Kwanini Chacha Wangwe mnamruka?!
 
Mkuu umesema kweli. Bado mijitu kama Lissu, Mdude unakuta wakipanda jukwaani hawaishi kumtukana Rais Samia.
Tupe tafsiri ya tusi tafadhali la sivyo tutakuona punguani tena takataka. Vile vile utupe na mfano wa matusi Lissu aliyotukana pamoja na Mdude. Ukishindwa tutakuona wewe ni takataka tu
 
Na nyie mko wap?

Nina Imani wewe ni robot ila umeficha ID yako

Jianike wewe ni nani kama kweli ni mwanaharakati
Jf ina option Mbili , kuna verified na fake ID , yaani ni Kama wewe na Id hiyo ya massawe wakati kwenu ni Geita .

Kingine ni kwamba sisi tuko hai halafu yeye kafa yaani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…