Kwenye Utawala wa awamu ya 5, Viongozi wa Chadema walikamatwa, walitekwa, walifungwa jela, walipotezwa, walijeruhiwa na wengine waliuawa

actually, hatutakiwi kuja kuruhusu kuwa na utawala wa aina ile tena nchini kwetu. utawala usio na sheria, watu waliishi bila kujua watatekwa au la, na watekaji walikula hela sana za uporaji na kutishia watu aidha kuwapoteza au kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi, Mungu hafurahishwi na maisha ya aina ile, machozi ya waliomwagwa damu yataendelea kulia hadi haki itendeke.
 
Lakini Bado hamtoi shukrani Kwa Samia kukomesha hayo.
Niliona video Moja Sugu anayembelea Tanganyika jeki nilicheka sana πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ

..Samia na Husseni wanapaswa kuunda TUME za Uchunguzi ili kupata ukweli wa yaliyotokea ktk awamu ya 5 na kabla ya hapo.

..Maridhiano yanapaswa kutambua dhuluma aliyotendeka, nani walihusika, na wahanga kuombwa radhi na kulipwa fidia.
 
Matusi ya Mdude_Nyagali alitamka pale Tabata Baracuda mwezi Juni mwaka 2021 alipotoka gerezani kwa msukumo wa Samia.

Lissu alisema maamuzi ya Rais Samia ni akili au matope baada ya mkataba wa DP WORLD mwaka 2023 Agosti

..hapo ni swali limeulizwa.

..kama maamuzi ya mkataba wa Dp yana manufaa, au hayana manufaa yaani matope, uchafu, ujinga, no.

..kusema viongozi wametukanwa ni kulazimisha mtizamo fulani.
 
? Hiyo character inamaanisha Swali...., Mbowe alikamatwa Awamu ya 5 ? Au ya Awamu ya 6 Tutayazungumzia awamu ya 7?
Ukijua tarehe ambayo aliuawa akwilina utaelewa ninachomaanisha , hapa hatuzungumzii ile kesi ya Ugaidi , hebu fungua ubongo wako
 
Hata uandike nini lakini kiongozi kipenzi atabaki kuwa yeye ni shujaa mmoja tu John pombe magufuli huwezi kubadilisha hilo
 
Hata uandike nini lakini kiongozi kipenzi atabaki kuwa yeye ni shujaa mmoja tu John pombe magufuli huwezi kubadilisha hilo
Lengo la uzi huu si kuondoa umaarufu wa mtu yeyote , hii ni kwa sababu hata shetani ni maarufu kuliko mtume Petro
 
Ukiona unajua sana mabaya ya wenzako basi inawezekana wewe ndo muovu zaidi kuliko hao unaowasema. Ila kwa vile wewe huna umaarufu wowote na haujatoa mchango wowote wenye manufaa kwa jamii utaonekana mwema na watu wasiokufahamu watakusifia sana.
Tangu 2017 ndio unarudi leo !
 
Mkuu hakika Maxence Melo ni shujaa, aliwaokoa wengi! Apewe maua yake! πŸ’πŸ›‘οΈπŸŽ–οΈπŸ‘‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…