Kuongeza kwa changamoto katika kikosi kunasaidia wachezaji wasijisahau. Mwanzo alinitia mashaka uamuzi wake wa kubutua mpira uliorudishwa kwa bahati mbaya na beki wake ila nadhani siyo mbaya.
Mbele pale tutafute mtu kama mbili damu changa tuachane na kina Msuva