Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Jamani mtatoboana macho si tusubili 2010 nani atapita kwenye kura za maoni.
Lakini Mwakalinga si uende CHADEMA kwani lazima usimame CCM huko huko?
 
Wana kyela kuweni macho! kuna usemi mmoja aliwahi kuusema mwanasiasa mmoja hapa Bongo nanukuu "alikwina?" na mimi nauliza tena huyu Mwakalinga au Mtanzania whatever the name, alikwina? hadi leo hii ndio aibuke? hawa sasa ndio mapandikizi wa kisiasa. tuachieni Kyela yetu!
 
Jamani mtatoboana macho si tusubili 2010 nani atapita kwenye kura za maoni.
Lakini Mwakalinga si uende CHADEMA kwani lazima usimame CCM huko huko?

CCM ndio kuna ulaji Komredi....
 

JF has made me grow and understand Tanzania and Tanzanians kwa mapana na marefu

Cant stop reading and learning

MTM
 
Jamani Mtanzania yuko wapi? Anahitajika hapa atupe wasifu wa George, maana Mtanzania anazijua siasa za Kyela!
 
Ila Mods wanafurahisha mbona id ya Mtanzania inashambuliwa sana na mods kuiachia tu lakini za kwangu zote ma mods wanazinyonya kwanini?

Huyu NSESI mbona anataja sana harafu munamwachia tuu ? ama hiyo ndiyo demokrasia?
 
Jamani Mtanzania yuko wapi? Anahitajika hapa atupe wasifu wa George, maana Mtanzania anazijua siasa za Kyela!

Jamani yupo busy si mnakumbuka mtoto wa mzee wa kaya alitaka kufungua harambee ya UVCCM yakatokea matetesi kibao kuwa wanataka kufanya fujo. Yupo busy jamani mwacheni.
 
Jamani mtatoboana macho si tusubili 2010 nani atapita kwenye kura za maoni.
Lakini Mwakalinga si uende CHADEMA kwani lazima usimame CCM huko huko?
Kaka Mwakipesile kamwambia agombee kupitia CCM, na anajua itakuwa rahisi kuunganishwa kwenye network ya RA na EL,siunajua tena mambo ya IT...
 
Hujui unachoongea , mwangunga hana udini wowote ni mtu poa sana yeye ni mwislamu lakini anajichanganya sehemu yoyote ile, kanisani anaingia kwani mumewe ni mkristo na watoto wake wote ni wakristo. acha kuongea kitu usichokijua.
huko si kujichanganya bali ni UJINGA.
 
Kanda2,

Kuna watu humu ndani wanakuamini kwa kila unachokisema.

Hebu leta KAMBA nyingine ya atakachofanya Mwakalinga. Ila leta kamba moja ya OVYO kabisa yaani hata hamnazo aishtukie. Utashangaa humu watu wanavyoirukia na kuanza kusema ni kweli.

Haya, zaidi ya LAPTOP kuzigawa bure kwa Wanakyela, atafanya nini zaidi??
 
Mwakilanga huyu ni mdogo wake na huyu mkuu wa mkoa anayepambana na Mwakimbiye. Wadau hii ni vita ya mkuu wa mkoa na Mwakyembe kwa sababu Mwakyembe ndiye aliyemtoa Mwailanga RC kwenye ubunge Kyele na JK akafanya kosa kumpa ukuu wa mkoa wa Mbeya. Tangu apate ukuu wa mkoa amekuwa akimsumbua sana Mwakyembe hata amewahi kutumia vyombo vya dola kuzuia mikutano ya Mwakyembe huko Kyela. Naomba tufanye liwezekano wana JF wenye uwezo tumkate ngebe huyu kwani ubunge sii wa ukoo.
 

Kumbe baado unaishi miaka ya 2000 iliyopita. Dunia ni kijiji sasa, ULAYA nani kasema? wasiwasi na hofu yako tu.
Nashukuru umejua kuwa watu wa Kyela sio washamba sasa, basi hilo litakuwa fundisho na hukumu nzuri kwa Mwakyembe kwa kuwadanganya kwa ahadi nyingi alizoshindwa kuzitekeleza, na alifanya hivyo kwa kujua wana Kyela wanatasahau, wanakumbuka sana.
Bora wa Ulaya anakula na wa kwao, kuliko wa Tanzania mchoyo.
Hakuna aliyemuomba Mwakyembe kwenda kugombea ubunge, huo ni uongo na ni namna ya kujikweza tu. Yeye tena aliwageuka wenzake ambao walipanga pamoja kuunga kwa pamoja ili wamuunge mkona dada yetu mmoja(Jina nalihifadhi)
Hata mimi napenda kuchunwa na kama unataka njoo, lakini hiyo ni hurka ya mtu na haina uhusiano na maendeleo, point ni kuwa umewafanyia nini wanaKyela uliowaahidi ahadi kibao? 2010 iko karibu na kila mtu atapata hukumu yake kulingana na kile alichotenda.
Amejenga hofu kwa sababu hakuna alichofanya, na hiyo hofu itamfikisha 2010 akiwa naaghaika na hana la kuwaeleza wana Kyela. Ubunge ni miaka 5 kikatiba na wala hakuna mbunge wa maisha, hata kichaa anaweza kuchukua fomu na kugombea. Kama alitaka kuwa wa maisha basi angefanya kazi kyela na sio maandamano kila siku hayo ndio maendeleo? Ndio tatizo la mtu kuwa mweupe.
Aangalie wenzake Tukuyu mashariki, kuko kimya, kisa maendeleo yanaonekana.
Kgwamaka
 
SteveD kafulia mbaya na waraka wake.......yaani ni ile nitoke vipi......alafu kumbe mwakalinga alikuwa kwa ma mvi kudaka mishiko? steveD lazima andike waraka mwingine.....

ha ha ha hah

Hii issue ya kupitia kwa ma mvi aka mzee wa richmonduli aka fisadi kuu la monduli itamwandama Mwakalinga hadi siku atakapoacha siasa. Alifanya makosa sana kisiasa kupitia huko.
 
Tuko pamoja mkuu wangu. nimewabana YOYO NA Mwafrika WAMEKUJA na chuki zao za kidini ili nisimpe support kamanda Mwakalinga yaani mtu anaona wivu kuona mtu wa JF kawa mbunge.
Mwakalinga Oyeeeee!!! wenye wivu wajinyonge.
 
Ila Mods wanafurahisha mbona id ya Mtanzania inashambuliwa sana na mods kuiachia tu lakini za kwangu zote ma mods wanazinyonya kwanini?

Huyu NSESI mbona anataja sana harafu munamwachia tuu ? ama hiyo ndiyo demokrasia?
Kitendo cha Mwakalinga kuitumia JF kwenye kampeni zake kinafaa kupigwa vita na wote wanaoitakia mema JF,hakina future nzuri!!!
 
Tuko pamoja mkuu wangu. nimewabana YOYO NA Mwafrika WAMEKUJA na chuki zao za kidini ili nisimpe support kamanda Mwakalinga yaani mtu anaona wivu kuona mtu wa JF kawa mbunge.
Mwakalinga Oyeeeee!!! wenye wivu wajinyonge.

Umewabana kina nani? ha ha ha haha ...

Nani ajinyonge kwa Mwakalinga kugombea? Mimi nimekupa ushauri tu kuwa wana Kyela wengi hawatakubaliana na hoja zako zilizojaa udini na chuki kwa wakristo. Huo mpango wenu wa kuibadili Tanzania kuwa Tanzanistani hautauza vizuri Kyela.

Otherwise .... wewe endelea kumshangilia Mwakalinga kadri utakavyo maana hata Lowasa alipokelewa kwa shangwe kijijini kwao.
 

Mkuu,

Hayo majina mbona umechanganya hata haijulikani unaandika nini?
 
Ila Mods wanafurahisha mbona id ya Mtanzania inashambuliwa sana na mods kuiachia tu lakini za kwangu zote ma mods wanazinyonya kwanini?

Huyu NSESI mbona anataja sana harafu munamwachia tuu ? ama hiyo ndiyo demokrasia?

Wewe nawe huchoki kulia lia hapa jamvini?
 

Ah sasa nimeamini kuwa huyu Mwakalinga anatumiwa na mafisadi. Yaani hadi mtoto wa Kikwete alikuwa aje kumpigia kampeni? No wonder Kanda2 yuko kwenye kampeni timu ya Mwakalinga hapa JF. Yale yale ya kuigeuza Tanzania iwe Tanzanistani.
 
[QUOTE=Kyala Gwamaka ,Kumbe baado unaishi miaka ya 2000 iliyopita. Dunia ni kijiji sasa, ULAYA nani kasema?

Mwakalinga a.k.a Mtanzania kasema sifa yake kubwa ni kukaa Ulaya muda mrefu.

Bora wa Ulaya anakula na wa kwao, kuliko wa Tanzania mchoyo.

Duh...kumbe ni njaa tu ndiyo inayokusumbua mnyakyusa mwenzangu,tungebishana sana kume sababu yenyewe ni hii.

Yeye tena aliwageuka wenzake ambao walipanga pamoja kuunga kwa pamoja ili wamuunge mkona dada yetu mmoja(Jina nalihifadhi)

Hakika unamawazo tegemezi sana,mnasubiri kubebwa tu,kwanini huyo dada asingegombea mwenyewe mpaka asubiri Dr ambebe?inaonyeshwa huo ushirika wenu mtakatifu hauna nguvu na ndio maana mnakuwa mnalilialilia fadhira,kama alivyoshinda 2005 bila ushirika wenu ndivyo itakavyotokea 2010.

point ni kuwa umewafanyia nini wanaKyela uliowaahidi ahadi kibao? 2010 iko karibu na kila mtu atapata hukumu yake kulingana na kile alichotenda.

Hahiitaji kuwa na akili saaana kujua kuwa Mwakyembe katimiza wajibu wake vizuri kama Mbunge makini,wenye mawazo ya kimatonya shauri yenu.....

Ndio tatizo la mtu kuwa mweupe.

Ni jukumu la Wanakyela kujudge kati ya Mwakyembe na Mwakalinga/Mwakipesile nani mweupe.

Aangalie wenzake Tukuyu mashariki, kuko kimya,

Nani kakuambia Rungwe Mashariki kuko kimya?fuatilia tena source zako..

Kwa wapambe wa mtindo wa Gwamaka,kaaazi kwelikweli......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…