Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Yo Yo;

Sio issue. Ila watakae wasitake tutapiga kampeni za kufa mtu(sio kuuwa kwa wasiojua misemo) huko Kyela mwakani!

The guy is good

FP
 
mkulu wenu nasikia anakwea pipa sasa hivi......

Shem Yo Yo,

Milele na milele ukumbuke maneno yangu. Unapoandika kitu kwenye JF, usitegemee sana maneno ya NASIKIA. Ukiulizwa lete ushahidi, utatupeleka kwenye ile link? Huo ndiyo ushahidi wako? Khaaa!!!!!!
 

SIKONGE acha uchochezi! Huwezi ukawa boss la IT & Telecommunications mwenye Msc. Eng.(Computer Science) halafu unafanya vibarua zaidi ya vinne kwa siku jijini London: kufua nguo, kufagia ofisi ya IT, kulisha nguruwe chakula nk! Wote tumeishi Ulaya,tunajua maisha ya kubangaiza yakoje. Mwacheni Mwakalinga bila kulazimisha watu kumchokonoa zaidi kwa kauli za utanitani kama hizo!
 
Ahhhhhhh, MMENIPATA Hahaaa hahaaaaa!!!!!

Sawa bana, mmeshinda kwa hili. Nilikuwa nina maana ya 1000km/hr
 
Ameenda kufuata zile `laputopu` za wanakyela wote!
 
 
Huyu ni mmoja tu kajitolea kutimiza haki yake kikatiba. Kuelekea mwakani tutaona na kusikia mengi InshaAllah kama tutakuwa hai.

Mwakalinga safari njema, ila fanya hima wale watu wako wa kampeni wachuje wanayosema, nawe uwe mwangalifu, silaha sasa zinakueekea.
 

Fataki,

Kumbe ndiyo wee unafanya kazi pale ZOO???

Kisa ni hiki:

Zoo ya UK moja ilipungukiwa wanyama, wakaamua kuwavisha watu ngozi za wanyama. Fataki nakumbuka ukaamuwa kwenda kuwa Mnyama wa zoo. Ukavishwa ngozi ya Gorila na ukaanza kurukaruka kwenye miti na kufurahisha watalii. Siku moja baada ya mvua kunyesha, ukateleza kwenye na ukaanguka moja kwa moja chini na hapo alikuwepo Simba. Nikasikia kilio "Mama wee, leo nakufaa". Mie nikakujibu " Kelele wee, mie siyo Simba ila Mbongo mwenzio".

Ilikuwa safi sana na watalii wakashangaa kuwa wanyama wanaongea!!!

Mhandisi wa IT na Telecominications.
 


Inaelekea wewe mwenyewe Mwakalinga ndio unajifanya msemaji wa Mwakalinga. Anyway, Kikwete aliwaomba mrudi home muijenge Tanzania ilyorarua na ufisadi wa ndani na wa kimataifa.

To my understanding hutakuwa na la ziada zaidi ya mawazo ya kina Serukamba.

Timiza haki zako Kikatiba. Tanzania ni yetu sote.
 
Ameenda kufuata zile `laputopu` za wanakyela wote!
PakaJIMMY,

Wee nitakuletea TV flat ya ukubwa wowote unaotaka kwa makubaliano uwe nayo Kyela na kila siku uwe unaonyesha video yangu ya kujinadi. Uchaguzi ukiisha ni mali yako. Ila Laptop pia utapata maana masikini wote wa JF nitawapatia pia nao Laptop.

Fisadi mie kwa sasa nina hela kama nyota za angani. Nakuahidi kuwa mwaka 2015 ninaenda kuchukua kiti cha juu kabisa cha Tanzania. Na hapo Tanzania itakuwa Silcon Valley ya Africa.
Pia inaitwa LAPTOP na siyo LAPUTOPU.
 
Kama huyu Mwakalinga anafadhiliwa na mtoto wa Kikwete, basi ameanza kunuka ufisadi wa Kikwete na wenzake.
 

Hivi Mwakalinga yuko wapi asafishe hewa kwenye maandishi kama haya? Yaani haiwezi kwenda low zaidi ya hii.
 
Hehehehe Mwakalinga P yako imepanda chat sana hapa JF toka juzi umefunika mkuu. Hongera sana.
 
Hivi Mwakalinga yuko wapi asafishe hewa kwenye maandishi kama haya? Yaani haiwezi kwenda low zaidi ya hii.

Hii inaitwa "Wape wape vidonge vyao, wakimeza wakitema shauri yao".

We call it fighting fire with fire (wimbo wa Kenny Rogers).
 

watu wanaomshauri huyu mtoto wa kikwete ni wakina nani maana yake watu wengi ndani ya ccm wanabifu naye tiyari.
kitu ambacho anatakiwa aelewe ni kwamba baba yake hata kuwa mwenyekiti wa ccm milele..
ukiangalia watoto wa mwinyi, nyerere na nkapa hawana bifu na watu wa ccm kama huyu jamaa na hawakusukumiziwa kwenye siasa kwa kasi kama huyu jamaa
yeye alitakiwa asiwe na makundi ajenge friendship na kila mtu, kuwa na makundi kwa umri kama wake ni dalili za ukilaza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…