Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 17
Hii inaitwa "Wape wape vidonge vyao, wakimeza wakitema shauri yao".
We call it fighting fire with fire (wimbo wa Kenny Rogers).
watu wanaomshauri huyu mtoto wa kikwete ni wakina nani maana yake watu wengi ndani ya ccm wanabifu naye tiyari.
kitu ambacho anatakiwa aelewe ni kwamba baba yake hata kuwa mwenyekiti wa ccm milele..
ukiangalia watoto wa mwinyi, nyerere na nkapa hawana bifu na watu wa ccm kama huyu jamaa na hawakusukumiziwa kwenye siasa kwa kasi kama huyu jamaa
yeye alitakiwa asiwe na makundi ajenge friendship na kila mtu, kuwa na makundi kwa umri kama wake ni dalili za ukilaza...
Sikonge kama nimekusoma vizuri, upo sana kambi ya Mwakalinga..sawasawa na mpiga debe Kanda2.....right? Kama ilivyo machango wa member yeyote tuna haki ya kusoma na kudadisi mchango wa Kanda2 uwe wa uwongo au ukweli mpaka tujiridhishe kuwa ni either uwongo au ukweli!
Kwa kesi hii, wale wa Kambi ya Dr. wamekuwa wakidai Mwakalinga alienda Monduli kumwona EL ....lately jana wewe ukaja na hadithi ya hukohuko Monduli but kutembelea mjane wa kaka yake (hili halikuwahi kutamkwa kabla ya wewe tangia thread imeanza)......ndipo nilipo ona kuna coincidence fulani and hence either madai yako ni sahihi au wongo na yale ya kambi ya Dr. ndo sahihi au ya uwongo! Usitegemea tu nitachgua upande kama sina sababu na vigezo vya kutosha mkuu takuwa mnafiki.....so point ya confusion ilikuja hapo!
Kwa sababu huku maanisha!
Mkuu tuko interested na Monduli not Karatu au kula sijui kulala etc....!
Ha!ha!ha!ha!ha!...mkuu please nitake radhi......!
Mkuu,
Mbona UPUPU wa Kanda2 mnausoma na kuuamini nawangu hamuamini? Si niliandika kuwa nitaleta Ungo kwa kila kaya ili watu wapate usafiri. Nitaleta Wasichana wa Kizungu na Kichina......... Wote mmekaa kimya. Niliandika Pumba za hali ya juu nikitegemea watu wataanza kutumia akili zao lakini wapi (Wamhogo).
Kuwa Mwakalinga ana familia ya Marehemu Monduli niliandika hata kwenye ule ujumbe wa kwanza. Unaweza kwenda kuangalia ujumbe wa mwanzo (sasa umeangunishwa hapa) na utaona huo ujumbe. Lakini unafahamu hilo ni swala la mtu binafsi na watu huwa hawapendi sana kusikia matatizo ya mtu. Hivyo akawa kasema tu kuwa kaenda kutalii. Ni sawa na Zanzibar, wengine wanafahamu alienda kutalii, ila mie nafahamu kuwa alikuwa huko kumtembelea jamaa yake mmoja wa zamani sana.
Mengine nafikiri umeshaanza kuzoea uandishi wangu. Kila nikiandika basi kuna sehemu nachomekea. Sasa hako kabinti kajirani unataka kusema hakapo/havipo? Au wee waenda na vi-house girl vya wazee? Angalia usifuate nyayo za Mahita ( Just kidding please).
Wapi Kanda2?
kalengamab
Junior Member
Join Date: Fri May 2009
Posts: 4
Thanks: 1
Thanked 2 Times in 2 Posts
inatishaaaa!george mwakalinga mwana kyela aliyekuwa anaishi na kufanya kazi kama mtaalaum wa kompyuta nchini uk amewasili kyela majuzi na tayari ametangaza kuwania ubunge wa wilaya ya kyela ndani ya ccm!
Mwakalinga ametoka kuongea na wana kyela sasa hivi kwenye hotel ya kisasa ya sativa na watu waliokuwepo hapo wanasema hapana shaka mwakalinga kaletwa kyela na vigogo ndani ya ccm na serikalini na dhahiri anaungwa mkono na mkuu wa mkoa wa mbeya mzee mwakalinga na mwenyekiti wa ccm wa wilaya hiyo japhet mwakasumi!
Kwa mujibu wa habari za watu wa kyela,kama uchaguzi wa kura za maoni ndani ya ccm utafanyila leo kwenye kata 15 zinazounda wilaya hiyo, mwakalinga na dr mwakyembe watashinda kata 6 kila mmoja na kata 3 zikiwa ni "swing states".
Kata ya kyela mjini,kata ya matema na kata ya ngonga sehemu ambapo wana siasa hawa wanapotokea ndiyo kata pekee za"swing states"lkn kata ya kyela mjini ikianza kuegemea upande wa mwakalinga na kumpa sasa likely kama anaongoza kwa kata 7 kwa 6 za dr mwakyembe!
Bila ubishi kata ya ikolo,kata ya kajunjumele,kata ya katumba songwe,na kata 3 za mashariki ya kyela hizo zitachukuliwa na dr mwakyembe ili hali kata ya ipinda,kata ya lusungu,kata ya makwale na kata 3 kuzunguka upande wa magharibi hasa kuanzia mpakani mwa kasumulu na mgodi wa kiwira zitachukuliwa na mwakalinga kwa kile wanachosema dr mwakyembe kashindwa kazi ya kuwasadia wahanga waliofukuzwa kazi kwenye mgodi huo na vijiji jirani!
Mwakalinga,ambae pia ana vitege uchumi vingi sana wilayani kyela zikiwemo hotel kubwa za kisasa tayari yupo kyela,na kaanza kuzunguka kwa kasi vijijini kujinadi kwa wana ccm na kuna kila ukweli kuwa viongozi wa ccm wilayani na mkoani wamebariki kuanza huku kwake kampeni kabla ya muda wake.
Juhudi zinafanywa ili mazungumzo ya mwakalinga akiwa kyela ambako tayari sasa kafanya ndiyo makazi yake yapatikane na yaletwe hapa ili wana jf wayachambue!
Mkuu,
Mbona UPUPU wa Kanda2 mnausoma na kuuamini nawangu hamuamini? Si niliandika kuwa nitaleta Ungo kwa kila kaya ili watu wapate usafiri. Nitaleta Wasichana wa Kizungu na Kichina......... Wote mmekaa kimya. Niliandika Pumba za hali ya juu nikitegemea watu wataanza kutumia akili zao lakini wapi (Wamhogo).
Kuwa Mwakalinga ana familia ya Marehemu Monduli niliandika hata kwenye ule ujumbe wa kwanza. Unaweza kwenda kuangalia ujumbe wa mwanzo (sasa umeangunishwa hapa) na utaona huo ujumbe. Lakini unafahamu hilo ni swala la mtu binafsi na watu huwa hawapendi sana kusikia matatizo ya mtu. Hivyo akawa kasema tu kuwa kaenda kutalii. Ni sawa na Zanzibar, wengine wanafahamu alienda kutalii, ila mie nafahamu kuwa alikuwa huko kumtembelea jamaa yake mmoja wa zamani sana.
Mzee ukisoma vizuri michango ya ZONE TWO utagundua kabisa alikuwa anamaanisha alichokuwa anakisema ...yeye hakumaanisha upupu kabisa we jaribu pitia posts zake!
Zile posts zako (baadhi) were meant to be jokes...ndo maana hakuna member alikukomalia....they new you didn't mean it!
Mengine nafikiri umeshaanza kuzoea uandishi wangu. Kila nikiandika basi kuna sehemu nachomekea. Sasa hako kabinti kajirani unataka kusema hakapo/havipo? Au wee waenda na vi-house girl vya wazee? Angalia usifuate nyayo za Mahita ( Just kidding please)
Hahahahahaaaa! viHG wakati mwingine vina mitego ya utata mkuu....lazima utii kiu yako.......(joke please)
uzuri wake upi?
Acha kulazmisha undugu na mimi wewe. Punda kasoro mkia weeee
Ndugu zangu wanaJF. Kwanza, napenda niwathibitishie wote kuwa MWAKALINGA SI FISADI! JAMANI SI FISADI HATA KIDOGO! Ni kijana wa Tanzania anayeishi Ulaya ambaye anatumia haki yake ya kidemokrasia kurejea nyumbani na kugombea ubunge, PERIOD! Anahitaji tumuunge mkono badala ya kumkatisha tamaa! Mimi ni mwandishi wa habari, nimekuwa karibu sana na kundi lake la kampeni katika ziara yote aliyofanya ndani na nje ya Mkoa wa Mbeya, hususan Kyela.
Tatizo linalomkabili Mwakalinga mpaka wengine wanamfikiria kuwa Fisadi ni ukaribu wake na campaign team ya Mwakipesile, ile ile ambayo Mwakyembe aliibwaga mwaka 2005! Kazi tuliyonayo wenzake ni kumtoa huko kubaya alikojichimbia, si kuzuri!
Mwakalinga anaelewa vema kuwa kabla ya kuja kwake Mwakipesile amefanya ziara ya Wilaya nzima kumfagilia njia. Hivyo si vema kwa Mwakalinga kumthibitisdhia kila mtu kuwa yeye ni mtu wa Mwakipesile! Mwakalinga ameishi kwa muda mrefu mno Ulaya hivyo hajui kuwa Mwakipesile ni mwanasiasa aliyepoteza ushawishi na mvuto wa kisiasa wilayani Kyela. Hivyo basi kwa kujihusisha sana na Mwakipesile, anajihusisha na matatizo ya Mwakipesile! Hali hii inamsaidia sana Mwakyembe kupata sympathy ya watu dhidi ya kundi ambalo wanaamini limekuwa likimsakama mbunge huyo machachari tangu 2005 kwa kuwa alimuunga mkono kaka ya Mwandosya wakati wa kinyang'anyiro cha Urais. Mwakipesile na wenzake akina Mzee Apson Mwang'onda na Mulla, hawaelewi kuwa alichofanya Mwakyembe ni heshima kwa Rungwe na Kyela! Wao wanadhani ni kosa, hivyo apigwe vita! Ni kukosa upeo mzuri wa siasa kwa Mwakalinga kuingia kwenye kundi hilo ambalo limefunga ndoa na mafisadi akina Lowassa, Chenge, Karamagi na Rostam Aziz!
Mwakalinga tumemweleza, lakini haelewi kitu kuwa mwezi wa nne mwaka huu Lowassa alikuja Kyela, akalala nyumbani kwa Mwaitenda, rafiki mkubwa wa Mwakipesile. Kyela wanajua!
Hivyo basi, huyu kijana si Fisadi, ila kwa namna moja au nyingine na kwa bahati mbaya sana, Mafisadi wako karibu naye.