Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM


Mwakalinga kawekeza karibu dola 1 milion$ Kyela. Mwakyembe alikuwa awekeze Singida na akiwa na RA. Sasa basi kama wewe huna hizo 1m. na unaona donge, then go hang your self.
 

Mwanzoni mmetueleza hapa kwamba sababu ya kumleta mwakalinga kugombea jimbo la kyela ni kutaka aliletee maendeleo(nadhani mmeridhishwa na maendeleo yake binafsi; hoteli, ukumbi na mazagazaga mengine) sasa tena unapodai utamaduni wa kuachiana madaraka mbona hueleweki?
kwahiyo ni kweli kwamba mwakyembe ameleta maendeleo kyela isipokuwa mnacholilia ni utamaduni wa kuachiana madaraka!
 
Hongera sana ndugu Mwakalinga kwa kuonyesha nia yako ya kugombea jimbo la Kyela. Majimbo hayajapigwa chapa ya mtu na kwa demokrasia ya Tanzania mtu yeyote yule anaweza kugombea uongozi au uwakilishi wa wananchi ili mradi wananchi wakubali sera zake na pia hizo sera ziwanufaishe.

Maneno matupu hayavunji mfupa. Go Mwakalinga go, usihofu wala kuogopa vitisho kwamba eti kuna mkono wa fisadi kwenye uamuzi wako huo ama vyovyote vile iwavyo.

Nakuombea kila la heri ndugu Mwakalinga, siasa za majungu na kukatishana tamaa Tanzania zifikie mwisho.
 
Mwakalinga kawekeza karibu dola 1 milion$ Kyela. Mwakyembe alikuwa awekeze Singida na akiwa na RA. Sasa basi kama wewe huna hizo 1m. na unaona donge, then go hang your self.

Where were we @?

Baada ya kujitambulisha kwenye simu....

Mwakipesile -- waziri mkuu una dakika 5 za mazungumzo
Lowasa -- unasemaje Mzee, pesa zimekuishia?
Mwakipesile -- no no no no ... no to the mwa ... mwa ... mwa gwa way
Lowasa -- umeanza bangi zako sasa, nini kinakusumbua?!
Mwakipesile -- ni yule kijana wetu mzee ... nasiki
Lowasa (akimkatisha) -- kwanza huyo kijana yuko wapi?
Mwakipesile -- ni story ndefu kidogo ila kuna binamu yake atakupigia simu?
Lowasa -- yupi huyo? maana kuna kijana kapiga simu hapa anaitwa sikonge
Mwakipesile (kwa hasira kidogo) -- SIkonge naye bwana, anasemaje?


**** itaendelea *****
 

Mwakalinga ni fisadi tu kama mafisadi wengine CCM.

Take that with you rafiki yangu mapinduzi.
 

Again .. umegonga kwenye kichwa Mwita,

Na baadaye, the same people wanaosema kuwa kunahitajika mabadiliko ya uongozi, ndio wao hao wanaoipigia debe CCM hapa JF kila kukicha bila kujali kuwa CCM imekuwa madarakani miaka nenda rudi.

Ongelea kuhusu double standards.
 

FairPlayer,

Tuliamua kupumzika sana na haya mambo ya mijadala, pamoja na watu wengi kusema ingieni hata kidogo lakini tulisema, HAPANA.

Kuna mengi sana ya kusimulia lakini ndio hivyo itabidi niandike kidogo kidogo maana siwezi kuweka kwenye mpangilio mzuri kwasababu tuhuma ni nyingi mno.

Kosa wanalofanya ni kumtuhumu mtu ambaye hawamfahamu, hivyo kufanya makosa makubwa.

Hakuna haja ya kuhamaki na badala yake ni hoja kwa hoja.
 
Mwakalinga ni fisadi tu kama mafisadi wengine CCM.

Take that with you rafiki yangu mapinduzi.

In order to take that with me, nionyeshe vielelezo vya kuonyesha kuwa ndugu Mwakalinga ni fisadi.

Zaidi ya hilo ningeshukuru kama ungeweka jina la mtu ambaye si fisadi anayeweza kugombea ubunge jimbo la Kyela.
 
In order to take that with me, nionyeshe vielelezo vya kuonyesha kuwa ndugu Mwakalinga ni fisadi.

Zaidi ya hilo ningeshukuru kama ungeweka jina la mtu ambaye si fisadi anayeweza kugombea ubunge jimbo la Kyela.

1. Kuwa mwana ccm (chama cha mafisadi) ni ufisadi.

2. Ukiwa mwana chama wa chama cha wanywa damu (unakuwa mnywa damu)
 
Jamani tufike sehemu tufanye hitimisho tupige kura za maoni.
Wangapi wanamuunga mkono MWAKALINGA?
Wangapi wanamuunga mkono MWAKYEMBE?
 
1. Kuwa mwana ccm (chama cha mafisadi) ni ufisadi.

2. Ukiwa mwana chama wa chama cha wanywa damu (unakuwa mnywa damu)

Mwafrika wa kike/kiume, ningeshukuru kupata vielelezo vinavyoonyesha kuwa ndugu Mwakalinga ni fisadi.
 
Jamani tufike sehemu tufanye hitimisho tupige kura za maoni.
Wangapi wanamuunga mkono MWAKALINGA?
Wangapi wanamuunga mkono MWAKYEMBE?

Mimi najiunga mkono mwenyewe MASANILO maana nami nitagombea huko sijaweka wazi tu!
 

Sijaona waraka wa Mwakipesile, naomba jisaidie link yake maana sikuwepo wiki nne.

Lakini humtendei haki Mwakalinga kwa kuandika ninayosema yanafanana na ya Mwakipesile, kwanini isiwe Mwakipesile ndiye anaimba yale ambayo Mwakalinga anasema ameyafanya.
 
Mimi najiunga mkono mwenyewe MASANILO maana nami nitagombea huko sijaweka wazi tu!

teh teh teh na wewe unawahaidi nini wazawa huko? Je utawapelekea condomu bure?
Ukitaka msaada p'se nione
 
Sijaona waraka wa Mwakipesile, naomba jisaidie link yake maana sikuwepo wiki nne.

Mwakalinga acha utani, mbona unapitia mle mle .....kupeleka waalimu Kyela, Kuanzisha Open Uni kule ....are you serious? hujauona kwi kwi kwi
 
teh teh teh na wewe unawahaidi nini wazawa huko? Je utawapelekea condomu bure?
Ukitaka msaada p'se nione

ha ha ha ha, inabidi atangaze biashara zake za Kyela. Kama hazifiki bilioni moja basi ajue amekwishney.

Ha ha ha ha , sijawahi kuona pumba za mwanasiasa yoyote kama zile zilitoka kwa kambi ya Mwakalinga hapa jamvini. kuanzia laputopu hadi dola milioni moja?!

FMES alikuwa ameleta nyingine kuwa Mwakalinga anajenga barabara ya lami huko Kyela!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…