Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
kwani wewe unayo mangapi?
All is good, ila hii ya kugombea kupitia CCM ndio imeniacha hoi kabisa!!
Nadhani, tena naombea, kwamba ni gazeti lime ku mischaracterize. Mwanachama mwanzilishi wa Jami Forum! Muhazini wa Tanzanet?? I swear to godhead umesingiziwa. What in the world is Tanzanet? Kwanza, hakuna jumuiya ya Watanzania waishio nchi za nje, Tanzanet ni cyber community, kwa hiyo hukuwahi ku interact na watu in person katika hiyo organization zaidi majinamizi yasiyo exist kama Dilunga na Yo Yo na Masanilo. Unapojifanya kama Tanzanet ni jumuiya halisi unaonekana mwongo.
Whether it's you or a whacky journalist who mischaracterized you, you need to control the message. Usikubali kutoa interview na Mwandishi kilaza atakae kuja kuku potray kama mjinga mmoja katoka Ulaya anadhani akisema alikuwa anachangia JF basi gentlemen and ladies wa Tanzania wata fall on his lap! Hell to the no! Be clear and careful with these cluckerwacky journalists unapoaeleza biography yako. Uking'ang'ania hicho ki pointi cha kukaa Ulaya, sijui kuacha kazi nzuri Ulaya utapigwa KO moja kali sana na Mwakyembe, atakupiga madongo makali mno, hana heshima yule, unamjua! Wewe na Ulaya yako utaitwa wakuja. Siku hizi Watanzania hawatetemekei watu wanaotoka Ulaya.
- Una maana huyu jamaa anayepeleka wazungu wa Brooklyn Kyela, badala ya kwao Mwakaleli, ili awe mpambe wa DK, au?
Respect.
Field Marshall Es!
Mkamap,
Mkuu wangu Mwakeyembe alikuwa mwenyekiti wa tume waliofanya uchunguzi na kuijenga ile report sii kwamba waliletewa na Takukuru au chombo kingine.. Inawezekana sana kuwa JF tuliwasaidia sana ktk kufuatilia lakini mambo mengi hayakuwa wazi kwa wananchi na hakika report ile kama ungejua ilivyotakiwa kuzimwa usingezungumza kitu kabisa..Mwakyembe kwa ujeuri wake baada ya kukamilika tu alimpelekea mkulu jambo ambalo linapingana kabisa na reprort zilizotangulia..
Hizo unazosema yawezekana kabisa si kweli.Hiyo report ya mwakyembe tayari mwanakijiji alikuwa ameshainyanyambua humu hakuna alichoongeza.Alinyonya tu humu na kupewa go ahead kwenda kuisoma hakuna alichofanya zaidi ya hicho.
Kama unahistoria nzuri kuna mzee mmoja humo bungeni ndiye miaka yote huwa analipuwa mabomu na kuwashusha mawaziri vyeo vyao toka enzi hizo kama akina Simba nk.kama hiyo ni case mbona humuiti huyo mzee kuwa ni shujaa wako.? unless ur racist.
Mkamap,
Mkuu iweke hiyo report ya Mwanakijiji...
Sikiliza Mwanakijiji wakati anampigia simu Lowassa ilikuwa maswala ya wanafunzi wa Urusi, ndilo lilikuwa janga kubwa la mapambano kati ya Mwanakijiji na Lowassa sio swala la Richmond.
Ila nakubali kwamba JF na hasa vijana wa Houston ndio walitushtua wengi kutuonyesha kwamba Richmond ilikuwa shirika feki na halikusajiliwa Texas tena basi watu wanaohusika wote tunawajua na wengine hawapo ktk list mzima...
Tokea hapo ndipo tulipoanza kufuatilia kwa ukaribu zaidi na hakuna kati yetu aliyejua vikao vyote vya baraza la mawaziri na kile kilichokubaliwa huko, hawa wakubwa kina Lowassa na Msabah wakazikiuka sheria hizo..
Wewe ulijua kuwa Msabah ni bangusilo kabla ya report ya Mwakyembe!..Ulifahamu maamuzi ya baraza la mawaziri na hata kuhusika kwa RA ktk deal zima kama ilivyobainika kwamba Dowans wanatumia address ya RA.. mkuu acha hizo kama humpendi mtu sema tu, lakini nachofahamu mimi kwetu siye Wabongo msema ukweli ni mshenzi ingawa kipenzi cha Mungu.
Hapendwi mtu kwa kazi zake bali Upedejee wake..
MkapaP,
Kwani Mkandara ni Mzungu au Mwaarabu? May be ni Kimacho au Indian.
Kama Mkandara ni Mpingo, hawezi kuwa ni RACIST. Au huyo Mzee si MPINGO?
Naona mkuu, umekaa na Wazungu hadi ukiona UNYASI unafikiri NYOKA.
Mkamap,Mkuu
fuatilia vizuri hiyo ishu hadi kuja kuundwa hiyo kamati kila kitu kilikuwa tayari kinajulikana ,humu jf kila kitu kilikuwa kimeshaanikwa, Slaa tayari alikuwa ameshapanda jukwaani na makabrasha yote kuhusu hiyo kitu.
Alichofanya Mwakyembe ni kuisoma tu hiyo report kitu ambacho hata mtoto mdogo mwenye uwezo wa kusoma angekifanya.Nimekuuliza mbona mzee Ndakaya humuiti kuwa shujaa wako?
Whether it's you or a whacky journalist who mischaracterized you, you need to control the message. Usikubali kutoa interview na Mwandishi kilaza atakae kuja kuku potray kama mjinga mmoja katoka Ulaya anadhani akisema alikuwa anachangia JF basi gentlemen and ladies wa Tanzania wata fall on his lap! Hell to the no! Be clear and careful with these cluckerwacky journalists unapoaeleza biography yako. Uking'ang'ania hicho ki pointi cha kukaa Ulaya, sijui kuacha kazi nzuri Ulaya utapigwa KO moja kali sana na Mwakyembe, atakupiga madongo makali mno, hana heshima yule, unamjua! Wewe na Ulaya yako utaitwa wakuja. Siku hizi Watanzania hawatetemekei watu wanaotoka Ulaya.
GAM kama umeamua kugombea, tutakuwa tayari kukusaidia kwani tunafahamu uwezo wako. Wengine tulitegemea ufanye hivi zamani lakini ukawa ngangari. Kyela wakikukataa, njoo SIKONGE.
- Mimi ni mwanachama hai na mkereketwa wa CCM, CCM kama chama hakina tatizo lolote kimetutoa wa-Tanzania utumwani na kutupatia uhuru, dunia sio mbaya ila ni walimwengu, CCM sio mbaya ila viongozi wake wachache wabovu na wote tunawajua kama huamini pitia threads za humu JF mmoja baada ya mwingine kwa majina yao na matatizo yao,
Field Marshall Es!