Uchaguzi 2020 Kyela: CCM yateketezwa bila huruma, viwanja inavyohutubia CHADEMA vyazidiwa na umati wa watu

Uchaguzi 2020 Kyela: CCM yateketezwa bila huruma, viwanja inavyohutubia CHADEMA vyazidiwa na umati wa watu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mara nyingi tumeandika humu kuhusu mwisho halisi wa CCM jimbo la Kyela tukiwa na vielelezo kamili visivyo na shaka yoyote lakini tulipuuzwa , sasa ni dhahiri mwisho huo umetimia

MJUMBE wa KAMATI KUU akihutubia WANANCHI wa KATA ya IKIMBA, Boda ya KASUMULU jim ( 335 X 640 ).jpg

Pichani ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema kutoka Kanda ya Nyasa Mh Joseph Mbilinyi akiongoza mashambulizi kwenye Kata ya IKIMBA inayojumuisha vijiji vya IBUNGU , KILASILO NA MBAKO ambapo Mh Alinanuswe Mwalwange Mgombea Ubunge jimbo la Kyela amefika kuomba Kura za ndio , kwenye mkutano unaopigwa sasa maeneo ya boda , Kasumulu

Kyela Mjini :

MTITI @jongwe__ leo Jimbo la Kyela ,kituo kinachofuata na kesho atakuwa jimbo la ( 360 X 640 ).jpg
Mjumbe wa KAMATI KUU akihutubia WAKAZI  halisi wa KYELA MJINI jioni ya leo... - T ( 360 X 640 ).jpg
FB_IMG_1601408600749.jpg
FB_IMG_1601408590953.jpg
 
Mara nyingi tumeandika humu kuhusu mwisho halisi wa CCM jimbo la Kyela tukiwa na vielelezo kamili visivyo na shaka yoyote lakini tulipuuzwa , sasa ni dhahiri mwisho huo umetimia


Pichani ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema kutoka Kanda ya Nyasa Mh Joseph Mbilinyi akiongoza mashambulizi kwenye Kata ya IKIMBA inayojumuisha vijiji vya IBUNGU , KILASILO NA MBAKO ambapo Mh Alinanuswe Mwalwange Mgombea Ubunge jimbo la Kyela amefika kuomba Kura za ndio , kwenye mkutano unaopigwa sasa maeneo ya boda , Kasumulu

Kyela Mjini :

View attachment 1585007View attachment 1585008View attachment 1585009View attachment 1585010
Mbona picha za Sugu?!
 
Back
Top Bottom