Uchaguzi 2020 Kyela: CCM yateketezwa bila huruma, viwanja inavyohutubia CHADEMA vyazidiwa na umati wa watu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mara nyingi tumeandika humu kuhusu mwisho halisi wa CCM jimbo la Kyela tukiwa na vielelezo kamili visivyo na shaka yoyote lakini tulipuuzwa , sasa ni dhahiri mwisho huo umetimia


Pichani ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema kutoka Kanda ya Nyasa Mh Joseph Mbilinyi akiongoza mashambulizi kwenye Kata ya IKIMBA inayojumuisha vijiji vya IBUNGU , KILASILO NA MBAKO ambapo Mh Alinanuswe Mwalwange Mgombea Ubunge jimbo la Kyela amefika kuomba Kura za ndio , kwenye mkutano unaopigwa sasa maeneo ya boda , Kasumulu

Kyela Mjini :

 
Mbona picha za Sugu?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…