Elections 2010 Kyela elections!

Elections 2010 Kyela elections!

Status
Not open for further replies.
Mkuu Jilala,

Kwenye siasa huwa hakuna permanent enemy wala friend, ndio maana Mwakyembe na Mwanjala walikuwa kambi moja mwaka 2005, lakini mwaka huu walikuwa mahasimu. Kwenye siasa kila kitu kinawezekana.

Mimi sijaongelea kutuhumiwa, nimeongelea yale yaliyotokea mbele ya macho ya Mwakalinga hapa JF. Kwa hiyo kwamba alituhumiwa na Mwakipesile na mpaka wakagombana, hilo mimi silijui. Nilichokuwa ninajadili ni yale yaliyotokea kipindi cha kuelekea 2010 hasa baada ya taarifa kuwekwa wazi kwamba Mwakalinga ana nia ya kugombea.

Tuje kwenye hoja ya kuleta mada hapa, unajua mada ikiletwa hapa na ikaanza kujadiliwa na wapambe ndipo maana na umuhimu wa mada huwa unapotea. Ukianza kujadili kitu kwa misingi ya upambe huwezi ukawa na balanced argument. Kwa hiyo dawa yake ilikuwa ni Mwakalinga kuwaomba hao wapambe wake waachane na mada hizo. Kama mtu anafuka pumba kwanini ubishane/ushindane? Itafika mahali watazamaji watashindwa kuelewa yupi mwenye akili timamu na yupi ambaye ana matatizo.

Mfano mdogo, Afande Samweli ametoa maneno mengi sana. Kama mada ya Kadi Fake na ile nyingine ya Mwakalinga kukamatwa zingekuwa bado zipo, ningekuambia kasome maandishi ya Afande Samweli na usome mabandiko ya Malafyale halafu uniambie nani alikuwa mkweli kuliko mwingine na nani alikuwa anajadili mada kiupambe na yupi alikuwa na hoja ambazo ziko balanced.

Unajua ukianza ku-dispute habari alizokuwa anatoa Malafyale na ilihali kuna ushahidi wa mambo aliyoyasema wakati wa kampeni za kura za maoni na kwenye uchaguzi wenyewe na yote yakawa yako sahihi, huwezi kunishawishi niseme kwamba habari alizotoa Malafyale huko nyuma zilikuwa ni za uongo. Kwa hiyo credibility ya Malafyale kwa sasa ni kubwa sana kwa kuwa mambo mengi aliyoyasema kwenye kura za maoni na uchaguzi yamedhihirika kuwa ni ya kweli.

Mwisho umesema kwamba Mwakalinga mwenyewe ndiyo alikuwa analeta taarifa na kukanusha za uongo, labda huko nyuma mwaka 2009, lakini siyo mwaka huu. Kwa hiyo taarifa ya kadi fake ililetwa na Mwakalinga mwenyewe? Ni Mwakalinga pia aliyekanusha kwamba hajakatwa? Ni Mwakalinga mwenyewe aliyekuwa anasema Mwakyembe amekaliwa kooni? Ni Mwakalinga mwenyewe aliyekuwa analeta propoganda za kura za maoni kwamba anaongoza? Labda kama siku hizi Mwakalinga amebadilisha jina hapa JF na inaonekana alikuwa na muda mwingi maana news zake zilikuwa zinamwagika hapa 24/7.

Ninachoweza kuomba radhi wana JF ni kukosea kutaja asilimia ambazo Dr Mwakyembe atashinda kwenye uchaguzi huo,vyanzo vyangu vya habari siku 3 kabla ya uchaguzi vilinituma nitabiri Dr Mwakyembe atashinda kwa kati ya asilimia 75 hadi 80 ya kura zote,lkn ikatokea kashinda kwa karibu ya zaidi ya asilimia 85 ya kura zote,kwa hilo naomba radhi lkn hamna lolote lingine nililokosea kuwapasha wana JF kuhusu siasa za Kyela kwenye kimbembe kile,tofauti kabisa na habari za kutunga kutoka upande ulioongozwa na Afande Samwel kwa jina jipya kama Jilala!

Keil kamaliza kila kitu na sina cha kuongeza zaidi lkn kwa mara ya mwisho nakuambia Jilala ambaye ndiye alikuwa anajiita Afande Samwel aombe radhi wana JF kwa uzushi,uongo,uzandiki,chuki na ufitina wake wa kuelezea siasa za Kyela kama anavyotaka yeye bila kusema ukweli wa mambo halisi ulivyo kwenye kampeni za kumsaka mshindi wa Ubunge kupitia CCM!

Afande Samwel Jilala kuomba radhi kwa habari zako za hovyo hovyo ulizokuwa unatuletea sio dhambi bali ni kielelezo kuwa angalau umekomaa kimaadili,kukataa kuomba radhi hata ilipodhihirika kuwa wewe ni mzushi kunazidi kuharibu image yako hapa

Afande Samwel Jilala,tuombe radhi wana JF ili urudi kundini na uache kutumia jina bandia la Jilala,kuomba radhi ndiyo ubinadamu!
 
Looser huwa hawana aibu hata kidogo Afwande Sam WELL!
 
.

Jamaa huyu katumwa nini.
Jilala ni jilala au magoli na Afande Samwel ni Afande Samwel.Acha kinifananisha mimi na watu
Ndiyo maana ninasema .Wewe ni mpishi tu

Mwaka 1990,Morovian kyela,waliamua kujitenga na kunyang'anya baadhi ya makanisa na Mwaka 1992 chini ya askofu mwakijambile,wakasajili kanisa lao na kujiita morovian kyela na wakati huu mbunge ni kasyupa.

Morovian kyela ni kanisa linalo tambuliwa.Ndiyo maana ninakwambia wewe ni mpishi tu.

Morovian kyela wamepata askofu mpya mwaka jana 2009 na mgeni rasmi alikuwa mkuu wa mkoa wa mbeya,Lakin aliwakilishwa na viongozi wa serikali wilaya,ambapo ata mbunge Harison Mwakymebe alikuwepo na alitoa zawadi ya pikipiki kwa askofu mpya.

Acha kuwa mpishi.


jilala

Member
Join Date Mon Aug 2010
Posts 27
Thanks : 0
Thanked 3 Times in 3 Posts

Jilala' hii ni camouflage gani unayotumia? umejificha usoni lakini mwili mzima unaonekana! kwa unayoyaeleza hapo juu wewe si mgeni humu jamvini wala usinge kaa kimya wakati wa kampeni.eti ume-join humu August 2010!!!! Wewe ni Afande Samweli hata kipofu anakuona haa haa haaa!
 
Jaman ed Wacheni kufananisha watu wasafi na wachafu bwana,, We unamjua Musa unamsikia tu kwenye maubiri ya waislam na walokole?
Hivi nyiniy wa Tanzania munafikiri mnashukrani,, hata aje raisi wa kuwalamba miguu yenu bado muta lalamika si mzuri na huyo Slaa mutamchoka kwa mwezi tu labda mi sipo
 
Kwa wanaomfahamu Mbunge Harrison Mwakyembe, je ana undugu wowote na Mwalimu Gordon Isegelekesye Mwakyembe aliyekuwa anafundisha Advanced Maths Tabora na Mazengo?

Mkuu kichuguu hawana undugu wowote. Huyu G I Mwakyembe ambaye sasa anajurikana kama Mzee Mwangoka yuko world Vision alikuwa pale Dodoma kwa muda mrefu na sasa nilisikia kuwa yuko Morogoro akiendelea na World vision. Mwangoka ni mtu wa Tukuyu wakati Dr ni wa kyela ingawa wote ni wanyakyusa.
 
Sikonge acha uongo, Kyela FM haiko chini ya Halmashauri, alijaribu kuitumia kuombea kura akajikuta anafichua ufisadi aloufanya kuhusu hiyo radio bila kuelewa, akaacha kuizungumzia.

Tofauti ya kura ni kubwa mno, 15336 dhidi ya 1,691 inatoa ujumbe ulio wazi kwamba hakubaliki. Suala la kuchangia maendeleo ya Kyela wengi tunachangia, na hilo wananchi Kyela wanalifahamu. Uamuzi walioufanya unatokana na upeo wao wa uelewa katika mambo yanayowahusu.
 
Wandugu, nilifanikiwa kukusanya matokeo kutoka kwa mawakala, vimekosekana vituo viwili. Naambatanisha distribution ya kura kwa faida ya mjadala huu.

Hata hivyo matokeo rasmi yaliyotangazwa na Katibu wa CCM Kyela, Bw Nong'ona ni kama ifuatavyo;

1. Dr Harrison Mwakyembe--15,336
2. George Mwakalinga---1,691
3. Elius Mwakalinga------1,407
4. Elias Mwanjala-----------937
5. Rhoda Mwamunyange---466


MATOKEO YA KURA ZA MAONI ZA UBUNGE JIMBO LA KYELA

JINA KATA TAWI ELIUS MWAKALINGA GEORGE MWAKALINGA HARRISON MWAKYEMBE RHODA MWAMUNYANGE ELIAS MWANJALA

1 Ima Nsungu Ipinda Ipinda chini 2 1 100 0 6
2 Moto Mbele Ipinda Kafundo 11 10 56 3 6
3 Eliya Mwaihembe Ipinda Kakolia 0 0 44 3 0
4 Abraham Mwambwalulu Ipinda Kingili 0 3 61 2 0
5 Lea Kibinga Ipinda Ikumbilo 6 3 61 3 0
6 Ndigwako Ipinda Ikulu 3 4 51 1 2
7 Emmanuel Mwakwipota Ipinda Bujela 3 6 79 2 4
8 Solomon Mwakyange Ipinda Ikulu chini 2 2 54 1 10
9 Joel Mwakisega Ipinda Kanga 6 10 53 3 4
10 Laito David Ipinda Ipinda Juu 4 8 257 3 9
11 Richard Mwakasekele Ipinda Ngamanga 0 0 86 0 1
12 Ulimboka Nkulu Ipinda Lupaso
13 Robi Mwaijega Ipinda Mpunguti 0 5 87 1 7
14 Ambilikile Mwasilembo Ipinda Mabuga
15 Nashoni Mwaijonga Ipinda Mbamila 6 1 46 3 6
16 Daniel Mwambeso Ipinda Kisale 6 30 76 2 6
TOTAL 49 83 1111 27 61

DAVID MWANJOKOLO 0759676236


. MAKWALE
1 Zawadi Mwasakajole Makwale Mpegele 1 3 77 1 2
2 Gwakisa Mwakabulufu Makwale Bulyambwa 4 3 100 0 1
3 Bailo Mwakanyeka Makwale Mpunguti 12 2 85 0 1
4 Zakaria Mwamkandawile Makwale Ngereka 22 2 117 2 1
5 Amani Mwakyembe Makwale Isimba 0 3 60 2 1
6 Banari Mwakasungu Makwale Makwale 1 1 80 2 2
7 Edwin Mwakyusa Makwale Ibale 6 0 69 3 3
8 Sanifu Mwabulanga Makwale Katela 6 4 159 1 3
9 Thomas Mwakasola Makwale Mahenge 5 1 88 0 4
TOTAL 57 19 835 11 18

MRATIBU; EDWIN MWAKYUSA- 0789 724 900

MWAYA
1 Benja Mwakyusa Mwaya Mwaya 3 30 60 3 3
2 Fokas Mwakyusa Mwaya Muungano 1 4 52 2 4
3 Eloy Mwaisumo Mwaya Lupondo 2 5 42 0 0
4 Daimo Mwakyami Mwaya Ndola 1 2 30 2 2
5 Joshua Mwangale Mwaya Lugombo 3 3 82 3 1
6 Hamis Mwaisumo Mwaya Mwaya Ziwani 6 3 83 2 2
7 Sanke Nyapini Mwaya Ilondo 0 4 57 0 1
8 Said Mwakapala Mwaya Tenende 2 4 102 3 2
9 Elias Mwakalobo Mwaya Kasala 3 4 40 0 0
10 Benson Mwakiluma Mwaya Kapamisya 32 31 10 4 4
11 Benjamin Rajabu Mwaya Malungo 0 6 20 0 0
12 Gordi Mwaijibe Mwaya Lukuyu 2 16 26 3 17
13 Luka Mwanjoka Mwaya Lugoje 2 0 50 0 2
14 Joshua Mwakabungu Mwaya Masebe 3 3 75 2 0
TOTAL 60 115 729 24 38

NB DONALD MWANDUNGA 0758 503 656

MUUNGANO
1 Richard Katoto Muungano Mwaigoga 6 2 84 1 0
2 Michael Mwandambo Muungano Lutusyo 2 2 109 3 2
3 Josseph Mwangulube Muungano Bukinga 4 3 111 3 3
4 Lucas Mwakaleke Muungano Iringa 4 9 98 4 0
TOTAL 16 16 402 11 5

NB THOMAS MWANKEMWA 0682 820 015

NDOBO
1 Haule Mwasabaje Ndobo Ndobo 0 1 75 1 0
2 Lupakisyo Mwakisomola Ndobo Masoko 1 2 82 0 3
3 Steven Daud Mwakisimba Ndobo Isuba 1 1 71 0 0
4 Nico Mwasongela Ndobo Sebe 2 0 63 1 0
5 Saibogi Mwalukuta Ndobo Kindingo 0 0 60 0 2
6 Daimon Mwakanyamale Ndobo Bwato 3 7 104 0 1
TOTAL 7 11 455 2 6

NB NGEJE MWAMBUNGU 0784 610 235

LUSUNGO
1 Imani Zakaria Lusungo Lukama 4 5 182 3 0
2 Abel Mwakalukwa Lusungo Kapugi 6 3 112 2 5
3 Richard Mwakanosya Lusungo Mpanda 13 6 100 5 8
4 Osyana Mwakisimba Lusungo Lukwego 4 4 184 0 4
5 Ulimboka Mwamatandala Lusungo Buka 2 1 245 0 0
6 Shaaban Mwaisupule Lusungo Kikuba 4 6 163 1 1
7 Benjamin Mwaigula Lusungo Kagera 1 1 186 0 1
8 Edom Mwakisalu Lusungo Lusungo 8 6 255 1 5
9 Lwitiko Kanyapini Lusungo Bugogo 8 8 103 1 4
10 Maiko Mwamakamba Lusungo Ntundu
TOTAL 50 40 1530 13 28

NB 0MARI MWAIKEKE 0787 632 779

MATEMA
1 Abisolom Mwakyonde Matema Ikombe 5 4 120 4 70
2 Alphonce Mwanjati Matema Kikuyu 3 3 61 1 5
3 Fabian Abel Matema Ibungu 0 2 90 2 4
4 Ambwene Nsyage Matema Matema 4 4 244 2 3
5 Casto Sanga Matema Kisyosyo 3 2 136 1 1
6 Boaz Mwakalitolo Matema Lusonjo 2 2 77 4 2
7 Benjamin Mwaipopo Matema Kilombero 4 37 156 6 8
8 Hezron Mwamponda Matema Mababu 5 15 221 15 5
9 John Sanga Matema Ndwanga 1 8 68 3 3
10 Efrahim Musa Matema Ngyekye 7 9 144 12 46
TOTAL 34 86 1317 50 147

NB TEDIUS MWAIPOPO 0683 314 464

IKOLO
1 Alango Mwakalango Ikolo Lupembe 5 5 70 1 1
2 Saleh Mwakaswaga Ikolo Bunyongala 36 4 128 3 0
3 William Mwaipola Ikolo Muungano 0 3 129 1 0
4 Henry Mwakibinga Ikolo Ikolo 7 1 142 2 7
5 Buchu Mwanganikani Ikolo Lupando 1 1 99 0 8
6 Subilaga Kanandi Ikolo Busona 0 2 106 1 3
TOTAL 49 16 674 8 19

NB MASUMBUKO -0713 980185

K/MJINI
1 Samweli Mwakilembe K/Mjini Idara ya Maji 9 3 86 6 27
2 Adam Mwabuponde K/Mjini Mbugani 12 11 253 8 33
3 Mariam Safari K/Mjini Kyela Kati 7 22 78 8 23
4 Kennedy Mwanyerere K/Mjini Bondeni 6 5 213 1 6
5 Living Kiketelo K/Mjini Bwawani 6 4 95 0 14
6 Jimon Mwakalebela K/Mjini Itunge 11 11 170 11 18
7 Shabani Lusekelo K/Mjini Ndandalo 24 5 193 0 19
8 Daud Mwangunga K/Mjini Serengeti 2 6 114 0 9
9 Betweli Kajinga K/Mjini Ipyana 0 0 111 0 9
10 Amon Mwakabwale K/Mjini Mikumi 5 12 233 1 4
11 Hakimu Mwamasangula K/Mjini Nkuyu 0 0 132 3 16
12 Issah Mwanganya K/Mjini C/Center 5 2 134 3 19
TOTAL 87 81 1812 41 197


NGANA
1 John Mkumbo Ngana Ushirika 15 6 36 2 13
2 Simon Msomba Ngana Ngana 11 33 39 1 9
3 Jackson Mwamanda Ngana Mwalisi 13 14 88 2 0
4 Angelile Lwimba Ngana Kasumulu 6 6 111 4 11
5 Juma Fumbo Ngana Nduka 3 1 36 0 2
TOTAL 48 60 310 9 35

NB MRATIBU – SICHONE 0784 584923

IPANDE
1 Smart Mwasambongo Ipande Mbula 4 5 95 0 1
2 Msukuma Mwalutambi Ipande Buponelo 2 3 59 0 0
3 Ben Mwakasanga Ipande Kyijila 3 31 37 0 1
4 Mate Danken Ipande Sinyanga 4 4 61 0 1
5 Fred Mwabulambo Ipande Konjula 1 11 75 0 2
6 Boaz Anyitike Ipande Njugilo 5 66 60 5 5
7 Emmanuel Efrahim Ipande Malangali 0 3 62 1 4
TOTAL 19 123 449 6 14
NB LUGANO MWANGALABA 0768- 503689

BUSALE
1 Prisca Sengo Busale Lema 5 7 99 4 4
2 Lugano Mwankenja Busale Busoka 2 4 82 1 6
3 Lebby Bagile Busale Masoko 3 3 68 2 3
4 Kingdom Busale Busale 3 5 140 3 0
5 Robert Kumbwa Busale Ikomelo 1 3 57 3 1
TOTAL 14 22 446 13 14
NB KINGDOM MWAMAKULA 0788 988428

BUJONDE
1 Gervace Mwasandembwa Bujonde Bangamoyo 0 0 105 6 2
2 Ambilikile Mwaibosi Bujonde Lubaga 0 0 208 6 1
Bujonde Nnyerere 3 8 143 5 2
Bujonde Itope 9 5 299 11 2
4 Gidion Mwakanyamale Bujonde Isanga 2 2 171 35 2
TOTAL 14 15 926 63 9
NB RODGERS KABALIKA 716524602

NGONGA
1 Jordan Kajula Ngonga Nsasa 14 6 116 5 7
2 Solomon Mwamulinge Ngonga Lugombo 11 7 105 2 101
3 Moses Mwakapegele Ngonga Ngonga 14 4 129 4 29
4 Daniel Mwakijinja Ngonga Itenya 11 8 118 8 9
5 George Mwakanyamale Ngonga Itete 8 3 109 46 0
TOTAL 58 28 577 65 146

NB MRATIBU -A.M KAJULA 782347696

IKIMBA
1 Jabro Mwakabungu Ikimba Lubele 3 4 57 2 2
2 Whine Mwakisambwe Ikimba Mbako 1 1 41 0 2
3 Layton Msenyenye Ikimba Kilasilo 2 1 199 4 3
4 Yonah Mwasakabeto Ikimba Ilopa 1 6 84 3 4
5 Boyd Mwakanyago Ikimba Ibungu 3 3 95 2 1
6 Edward Mwakabungu Ikimba Banyakipesile 1 2 48 0 0
TOTAL 11 17 524 11 12

NB MRATIBU – ALELUYA MWAKISAJE 0785324466 0755669537

K/SONGWE
1 Mathew Mwambene K/Songwe Katumba 3 41 58 4 3
2 Aron Mwaikinda K/Songwe Lupanga 3 36 62 4 3
3 Kanyandule Msuasi K/Songwe Mpunguti 6 25 106 3 4
4 Jentulo Mwandolewa K/Songwe Itekenya 6 7 106 1 9
5 Jeusi Mwakijambile K/Songwe Ndwanga 2 3 81 4 0
6 Jacob Mwaisaka K/Songwe Umoja 5 6 73 1 1
TOTAL 25 118 486 17 20

HARTSON MWANTIPULO 0655873828/ 0783873828

ITOPE
1 Osward Mwapasila Itope Kikusya 9 7 67 2 1
2 Hassan Chaula Itope Itope 5 8 51 1 1
3 Jacob Mwantwango Itope Kilambo 7 0 56 6 3
4 Atupele Mackson Itope Kandete 5 3 30 0 4
5 John Mwandemele Itope Ibanda 4 5 47 0 1
TOTAL 30 23 251 9 10

STEVEN SAKABONA 755573154

ISAKI
1 Eliud Mwang’onda Isaki Seko 2 4 38 3 1
2 Matenzi Mwanyilu Isaki Majengo 1 6 47 1 3
3 Mpole Mwaseba Isaki Kilambo 2 1 54 1 4
4 Eric Mponongo Isaki Njisi 6 9 41 6 1
5 Lutengano Askari Isaki Isaki 5 8 99 7 13
Isaki Mpakani 0 6 30 3 0
6 Lucky Isaki Kabanga 19 5 111 5 1
TOTAL 35 39 420 26 23

KELLY MWANDAMBO 754545413

K/MELE
1 Yesaya Mwakagile K/Mele Kapwili 29 14 147 6 9
2 Imani Mwankemwa K/Mele Kilwa 45 5 90 4 1
3 Samo Mwampiki K/Mele Lupaso 298 10 76 3 3
4 Eliud Mwakaliku K/Mele Buloma 29 14 90 7 7
5 Simioni Mwabulambo K/Mele K/mele 22 5 95 2 0
6 Mwakyonya M K/Mele Kingila 57 11 115 8 3
TOTAL 480 59 613 30 23

LONGOLI 652835593

IKAMA
1 Ben Mwakasege Ikama Igembe 4 2 66 0 11
2 Alfred Mwakabana Ikama Ilopa 11 5 89 4 15
3 Jemu Mwaipopo Ikama Ikama 2 3 59 0 9
4 David Kitungwa Ikama Mpunguti 0 5 87 1 7
5 Tumaini Andilile Ikama Mpanga 2 1 28 1 13
6 Charles Sumukaga Ikama Mwaisongoli 2 2 31 1 9
7 Oberd Mwakyusa Ikama Fubu 4 2 78 3 11
8 Jafa Mwambandile Ikama Mbwata 2 3 40 1 5
9 Franck Abisolom Ikama Mwambusye 11 5 89 4 15
TOTAL 38 28 567 15 95

NB CLEVER MWAKABUNGU 753071881

TALATALA
1 Jofrey Mwakasekele Talatala Kyangala 0 0 89 0 0
2 Andikisye Rafael Talatala Ndobelobe 0 3 65 2 1
3 Petro Newala Talatala Talatala 4 3 124 1 11
4 Seth Mwambandile Talatala Nditu 5 2 46 1 11
5 Gray Amos Talatala Ngolela 0 5 75 1 6
6 Boniface Anganile Talatala Kagogo 1 4 91 2 5
TOTAL 10 17 490 7 34

NB JOSEPH KANYIKI 787938847

GRAND TOTAL 1191 1016 14924 458 954 18543

PERCENTAGE 6.42% 5.48% 80.48% 2.47% 5.14% 100.00%
 
Sikonge acha uongo, Kyela FM haiko chini ya Halmashauri, alijaribu kuitumia kuombea kura akajikuta anafichua ufisadi aloufanya kuhusu hiyo radio bila kuelewa, akaacha kuizungumzia.

Tofauti ya kura ni kubwa mno, 15336 dhidi ya 1,691 inatoa ujumbe ulio wazi kwamba hakubaliki. Suala la kuchangia maendeleo ya Kyela wengi tunachangia, na hilo wananchi Kyela wanalifahamu. Uamuzi walioufanya unatokana na upeo wao wa uelewa katika mambo yanayowahusu.

....Hope Mtanzania aka Joji, Sikonge boy, Afande S aka Jilala wamekusoma vizuri hapo juu......! Lakini nataka hii timu ya Joji waseme kama wanaendelea tena na mpango wa kumwaga LAPTOPS kwa wanakyela wote, manaake mwaka jana walijitapa sana na hoja ya laptops hapa.....!

BWT...Kwanini Joji hakumwaga hizo laptops wakati wa kampeni? who knows, ungeweza washawishi wanakyela wabadili msimamo wao........from Kilimo kwanza to Laptops...ha!ha!haaaa!
 
Nimeshindwa ku- attach distribution ya matokeo ya Kyela kwa vituo, naomba msaada kwani yako katika program ya excel ili watu wajionee hali halisi
 
Haya mambo ya siasa matamu sana! Kwa taarifa nilizopata muda huu kwa watu niliowaacha Kyela,inasemekana kuna vijana 7 ambao wameshikwa na kadi za chama walikuwa wanampigia Mh. 1 kati ya wagombea. Vijana hao wanasema walikuwa na kadi kati ya 10-20 kila mtu. Walio Kyela na uhakika wa habari hii tujulisheni,maana Mbunge kihshapatikana lakini ni bora tukajifunza na haswa kama hawa walioshindwa na kura zenyewe waliiba-na je wasingeiba ingekuwaje?:disapointed:
Katabazi.
 
Kwa wanaomfahamu Mbunge Harrison Mwakyembe, je ana undugu wowote na Mwalimu Gordon Isegelekesye Mwakyembe aliyekuwa anafundisha Advanced Maths Tabora na Mazengo?

Mkuu Kichuguu,

Mwanzo kabisa, mimi nilifikiri ni huyu Mwalimu wa Hesabu pale Mazengo. Nilimkuta Mazengo na kumuacha. Alikuwa Mlokole kwelikweli ila ukimkorofisha, basi anaweka ulokole pembeni na kukuweka makofi.
Mara ya mwisho nakumbuka kumuona Arusha akiwa na mwimbaji/mchungaji Munisi na Wapendwa wengine kwenye kanisa la AG karibu na nyumba za AICC. Nilishangaa kumuona na nikaenda kumsalimia. Hakuweza kunifahamu kwa sababu yeye alikuwa akifundisha hesabu A-Level na mie nilikuwa o-level.

Nakumbuka siku moja aligombana na mwalimu mmoja Mhindi aitwaye YALE. Yale alikuwa na kimwili kidogo sana na kama kawaida ya Wahindi alikuwa na ki-Vespa chake na akitesa nacho kubeba watoto au mke au kuja nacho kazini. Yale alikuwa kaajiriwa kama Tanzania Expert au TX. Ugomvi ulizuka na kisa ilikuwa ni ile miaka Sukari ya shida. Ikija dukani basi wanapewa kwanza walimu na wafanyakazi. Sasa sijui Yale alitaka zaidi au nini, sikumbuki na ugomvi ukaanza. Mwakyembe akawa mkalii..... Yale akaanza kufoka kwa lafudhi ya kihindi "...... i don't fear you, i can fight you Mwakyembe........" Mwakyembe nafikiri kwa kuogopa TX, na yeye akaanza kufoka na kusema "..Don't shake us with your TX name." Mungu bariki Mikono haikutembea maana Yale angeliuawa.

Sijui kama wana ndugu nilishawahi uliza jamaa kadhaa wakasema hawafahamu.

NB: Hebu tafuta makala ya Ubunge jimbo la Sikonge, nimeweka wimbo safi sana. Naomba mnipatie maana ya maneno kwenye tiitle.
 
Sikonge acha uongo, Kyela FM haiko chini ya Halmashauri, alijaribu kuitumia kuombea kura akajikuta anafichua ufisadi aloufanya kuhusu hiyo radio bila kuelewa, akaacha kuizungumzia.

Hewala Mzee wangu, nimeshaacha uongo.

Mwakalinga hakufanya hayo ili agombee. Miradi yake tayari inarudisha hela. Li mradi la HASARA ambalo kafanya hadi leo ni Kyela FM. Anaombea tu liwe linajiendesha lenyewe na kwenye uongozi kajitoa kabisa. Imebaki chini ya watu wengine na Halmashauri ya Wilaya ya Kyela. Ila iko hoi kifedha hata sehemu za majengo haina na kaamua tu kuendelea kuikumbatia kwa kuiweka hapo kwake kwenye KBS.
[/B]
 

Attachments

Mkuu Jilala,

Kwenye siasa huwa hakuna permanent enemy wala friend, ndio maana Mwakyembe na Mwanjala walikuwa kambi moja mwaka 2005, lakini mwaka huu walikuwa mahasimu. Kwenye siasa kila kitu kinawezekana.

Mimi sijaongelea kutuhumiwa, nimeongelea yale yaliyotokea mbele ya macho ya Mwakalinga hapa JF. Kwa hiyo kwamba alituhumiwa na Mwakipesile na mpaka wakagombana, hilo mimi silijui. Nilichokuwa ninajadili ni yale yaliyotokea kipindi cha kuelekea 2010 hasa baada ya taarifa kuwekwa wazi kwamba Mwakalinga ana nia ya kugombea.

Tuje kwenye hoja ya kuleta mada hapa, unajua mada ikiletwa hapa na ikaanza kujadiliwa na wapambe ndipo maana na umuhimu wa mada huwa unapotea. Ukianza kujadili kitu kwa misingi ya upambe huwezi ukawa na balanced argument. Kwa hiyo dawa yake ilikuwa ni Mwakalinga kuwaomba hao wapambe wake waachane na mada hizo. Kama mtu anafuka pumba kwanini ubishane/ushindane? Itafika mahali watazamaji watashindwa kuelewa yupi mwenye akili timamu na yupi ambaye ana matatizo.

Mfano mdogo, Afande Samweli ametoa maneno mengi sana. Kama mada ya Kadi Fake na ile nyingine ya Mwakalinga kukamatwa zingekuwa bado zipo, ningekuambia kasome maandishi ya Afande Samweli na usome mabandiko ya Malafyale halafu uniambie nani alikuwa mkweli kuliko mwingine na nani alikuwa anajadili mada kiupambe na yupi alikuwa na hoja ambazo ziko balanced.

Unajua ukianza ku-dispute habari alizokuwa anatoa Malafyale na ilihali kuna ushahidi wa mambo aliyoyasema wakati wa kampeni za kura za maoni na kwenye uchaguzi wenyewe na yote yakawa yako sahihi, huwezi kunishawishi niseme kwamba habari alizotoa Malafyale huko nyuma zilikuwa ni za uongo. Kwa hiyo credibility ya Malafyale kwa sasa ni kubwa sana kwa kuwa mambo mengi aliyoyasema kwenye kura za maoni na uchaguzi yamedhihirika kuwa ni ya kweli.

Mwisho umesema kwamba Mwakalinga mwenyewe ndiyo alikuwa analeta taarifa na kukanusha za uongo, labda huko nyuma mwaka 2009, lakini siyo mwaka huu. Kwa hiyo taarifa ya kadi fake ililetwa na Mwakalinga mwenyewe? Ni Mwakalinga pia aliyekanusha kwamba hajakatwa? Ni Mwakalinga mwenyewe aliyekuwa anasema Mwakyembe amekaliwa kooni? Ni Mwakalinga mwenyewe aliyekuwa analeta propoganda za kura za maoni kwamba anaongoza? Labda kama siku hizi Mwakalinga amebadilisha jina hapa JF na inaonekana alikuwa na muda mwingi maana news zake zilikuwa zinamwagika hapa 24/7.
.

Tatizo ni lack of understanding.
Hakuna anayekukataza kuamini maneno ya Malfyale na kukulazimisha uamini maneno ya afande samwel.lakini ukweli utabaki palepale na points zako na ushauri wako,ninaona kama na wewe kuwa kigeugeu.

Kadi feki za mwakayembe ziliandikwa na afande samweli na magazeti yote yaliandika siku ya tatu yake.Hasa gazeti la tanzania daima la tarehe 23/07/2010 na walisema ni za mgombea mmoja ambaye anamiliki kikundi kinachoitwa task force.Sasa uongo ulikuwa wapi?.Kama hilo haumini na unafuatilia siasa za kyela,kwanini kampeni zilianza tarehe 23/07/2010 badala ya tarehe 22/07/2010?

Mwakalinga anawashabiki kila sehemu kama ilivyokuwa kwa mwakymebe,atakuwa na muda gani wa kupita kila blog au forum za waswahili na kuwakataza?.Ni sawa na kuniambia viongozi wa klabu ya yanga ,basi wapite kila sehemu kuwakataza washabiki wao.Mwakalinga atanikataza hapa jf,je kule kyela?je kwenye mitandao mingine ya waswahili? au zile debate zinazoendelea kule kyela?

Baado ninapingana na mawazo yako yenye mlengo wa kutoelewa siasa zilizojaa ushabiki kama zile za kyela na kuwa eti umewahi kumshauri mwakalinga.

Kama nilivyoandika mwanzo kuwa kushindwa kuna mambo mengi sana.Kama baado unabisha ata ile post ya afande samwel ya kadi feki na magazeti yote yaliandikwa,kweli kazi ipo.

Haya leo yanaletwa na Keil ,ambaye anasema anafahamu mwakalinga, je afande samweli ambaye yeye ni mshabiki tu na hawajuani na mwakalinga,yeye ataandika nini akirudi?
 
Mwakalinga kwishnehi...finito...kaput!!! Bwahahahahaaaa.....lakini pole sana.
 
Mwakalinga kwishnehi...finito...kaput!!! Bwahahahahaaaa.....lakini pole sana.

hahaaaah Nyani Ngabu , yaaani kadondokea ziwa nyasa, huenda muda huu yuko upande wa malawi, huko Kyela watu wanaanua matanga yake hivi punde maana wanasubiri kuona japo mwili wake aaah wapi, umekwenda na maji, Mwakyembe Mchezo ?
 
Sikomge nakushukuru kwa hiyo document kwani hapo ndio penye utata wenyewe. Hadi sasaHalmashauri haielewi kinachoendelea, hapa umezidi kufichua ufisadi wa nduguyo mwakalinga, mzee Kisugujila alishitukia hiyo radio sasa naona kuna mtu kasaini kwa niaba ya mkurugenzi suala la uwekezaji!!!

Lipo bomulinakuja tusubiri!


Lkn hebu nisaidie nami nio attach document ya matokeo ya kyl uone ukweli ulivyo badala ya kupiga porojo
 
Haya mambo ya siasa matamu sana! Kwa taarifa nilizopata muda huu kwa watu niliowaacha Kyela,inasemekana kuna vijana 7 ambao wameshikwa na kadi za chama walikuwa wanampigia Mh. 1 kati ya wagombea. Vijana hao wanasema walikuwa na kadi kati ya 10-20 kila mtu. Walio Kyela na uhakika wa habari hii tujulisheni,maana Mbunge kihshapatikana lakini ni bora tukajifunza na haswa kama hawa walioshindwa na kura zenyewe waliiba-na je wasingeiba ingekuwaje?:disapointed:
Katabazi.

Katabazi acha kupotosha watu hapa kama una ajenda yako wekawazi, walokamatwa walikuwa watu wa makete alokuwa akitetea udiwani kyela mjini, Kila aliyekuwepo kyl wakati wa kula za maoni analifahamu hilo na walikamatwa baada ya vijana kuwadanganya polisi kuwa ni majambazi, walipofika eneo la tukio waliwakamata hao saba wengine walitimua mbio. Inaeleweka TAKUKURYU walikuwa na maelekezo ya EL hivyo kusi hiyo haitofikapopote labda mwakipesile aondolewe leo hapo mbeya/
 
Sawa mkuu umeshasomeka.
Nilishakuballi kuwa mie muongo. Nina wasiwasi hata swali lako hapo chini hutaniamini maana mie muongo. Subiri wasema kweli wa JF watakuelekeza jinsi ya ku-attach hilo file. Ngoja nikalale na uongo wangu.


Mshamba wee, kumbe na wewe inabidi upate LAPUTOPU za Kanda2.
Unapoandika ujumbe, kuna sehemu pameandikwa Manage attachments. Fungua hapo na huko ndani kwa juu utaona sehemu imeandikwa Add Files na ukibonyeza hapo, nenda chini kabisa katika dirisha jipya na utaona sehemu imeandikwa select Files. Ukifungua hapo, basi itakupeleka kwenye Computer yako na huko nenda lilipo file lako na li-Attach. Baadaye bonyeza DONE kwa chini. Kama liko kwenye sehemu ya juu basi au yako mengi, basi lichague kwa kutiki kibox na livute chini. Ukimaliza kuandika basi utaona ujumbe wako na hiyo/hizo attachments.
Mshamba wa Kinyakyusa kapewa shule ya bure na Mnyamwezi........... HUONI AIBU?

Utani pembeni: Kama una matatizo ya computer na uko Kyela basi usisite kumuona Mwakalinga. Kama ana muda, atakusaidia.


Sikomge nakushukuru kwa hiyo document kwani hapo ndio penye utata wenyewe. Hadi sasaHalmashauri haielewi kinachoendelea, hapa umezidi kufichua ufisadi wa nduguyo mwakalinga, mzee Kisugujila alishitukia hiyo radio sasa naona kuna mtu kasaini kwa niaba ya mkurugenzi suala la uwekezaji!!!

Lipo bomulinakuja tusubiri!


Lkn hebu nisaidie nami nio attach document ya matokeo ya kyl uone ukweli ulivyo badala ya kupiga porojo
 

Attachments

  • Nyanyembe Hall.jpg
    Nyanyembe Hall.jpg
    44.5 KB · Views: 49
Mkuu Kichuguu,

Mwanzo kabisa, mimi nilifikiri ni huyu Mwalimu wa Hesabu pale Mazengo. Nilimkuta Mazengo na kumuacha. Alikuwa Mlokole kwelikweli ila ukimkorofisha, basi anaweka ulokole pembeni na kukuweka makofi.
Mara ya mwisho nakumbuka kumuona Arusha akiwa na mwimbaji/mchungaji Munisi na Wapendwa wengine kwenye kanisa la AG karibu na nyumba za AICC. Nilishangaa kumuona na nikaenda kumsalimia. Hakuweza kunifahamu kwa sababu yeye alikuwa akifundisha hesabu A-Level na mie nilikuwa o-level.

Nakumbuka siku moja aligombana na mwalimu mmoja Mhindi aitwaye YALE. Yale alikuwa na kimwili kidogo sana na kama kawaida ya Wahindi alikuwa na ki-Vespa chake na akitesa nacho kubeba watoto au mke au kuja nacho kazini. Yale alikuwa kaajiriwa kama Tanzania Expert au TX. Ugomvi ulizuka na kisa ilikuwa ni ile miaka Sukari ya shida. Ikija dukani basi wanapewa kwanza walimu na wafanyakazi. Sasa sijui Yale alitaka zaidi au nini, sikumbuki na ugomvi ukaanza. Mwakyembe akawa mkalii..... Yale akaanza kufoka kwa lafudhi ya kihindi "...... i don't fear you, i can fight you Mwakyembe........" Mwakyembe nafikiri kwa kuogopa TX, na yeye akaanza kufoka na kusema "..Don't shake us with your TX name." Mungu bariki Mikono haikutembea maana Yale angeliuawa.

Sijui kama wana ndugu nilishawahi uliza jamaa kadhaa wakasema hawafahamu.

NB: Hebu tafuta makala ya Ubunge jimbo la Sikonge, nimeweka wimbo safi sana. Naomba mnipatie maana ya maneno kwenye tiitle.

Gordon Isegelekesye Mwakyembe alikuwa mkorofi sana pale Tabora School miaka ya sabini kabla hajaenda chuo kikuu ambako ndiko alikookea; nilikuwa nafuatilia sana habari zake kwa muda na mara ya mwisho niliski alikuwa anafundisha Mazengo. Jamaa yule alikuwa akiimba mahesabu kwani "Log Table" zote zilikuwa ziko kichwani mwake, wakati huo hakukuwa na calculator kwa hiyo tulikuwa tukifanya mahesabu kwa kutimia Log Table na Slide Rule tu. Sijamwona tangu mwaka 1977, ila ninamkumbuka sana, ndiyo maana nikauliza.

Kuhusu wimbo huo, nitatafuta hiyo thread niusikilize kwa makini. Tatzio kubwa kwetu tuliokaa sana nje ya nchi ni kule kushindwa kupambanua kinyamwezi na kisumbwa, kwa hiyo ukisikilza katika upande wa kinyamwezi tu bila kuchanganya kisumbwa kidogo unaweza kupotea. Ukiishi sana Tabora unakuwa huoni tofauti yoyote baina ya lugha hizo lakini kama umeshakaa nje sana, unaweza kupotea.
 
kushindwa kupambanua kinyamwezi na kisumbwa, kwa hiyo ukisikilza katika upande wa kinyamwezi tu bila kuchanganya kisumbwa kidogo unaweza kupotea

Napenda sana kusikiliza intonations za kisumbwa wanaongea vizuri kwa kuvuta maneno! Mwandila Yewa! Katule Nguku.....mwalala hahahahahah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom