LGE2024 KYELA: Freeman Mbowe kuongoza Uzinduzi wa Kampeni za Wagombea wa Uenyekiti wa serikali za Mitaa

LGE2024 KYELA: Freeman Mbowe kuongoza Uzinduzi wa Kampeni za Wagombea wa Uenyekiti wa serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Jana JIMBONI KWA Tundu Lissu, Singida Mashariki nimesikia CHADEMA wameweka wagombea 91.7% kwenye vijiji na vitongoji...

Huko Tarime mji nasikia CHADEMA imeweka wagombea 90% kwenye mitaa na Tarime Vijijini zaidi ya 80% kuna wagombea wa CHADEMA kwenye vijiji na vitongoji...

Hiyo 99.9% itapitia Kona ipi...?

Na Tundu Lissu amewaambia wana Tarime kuwa wakinyang'anywa ushindi kwa nguvu wasmpigie simu kumlilia ila atataka asikie huyu aliyemtangaza wa CCM ambaye hakushida afanywa nini...!

Bro, pamoja na engua engua, hakuna cha 99.9% kwa CCM this time..
Huyo jamaa amejisahau mno!
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe anaingia Jimbo la Kyela kwa ajili ya kuwanadi wagombea wa Chama chake kwenye Uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mitaa.

Mpaka naandika hapa Shamrashamra za ujio wa Mwamba zinaendelea, Nitakuwepo na sasa niko njiani kuelekea Kyela baada ya Jana kushiriki Uzinduzi wa kampeni hizo Mbarali

View attachment 3158603

Bha Tata na Bha Jubha, Ndaga Mutukunyike ni mbombo, ndaga muhangajike nu ubhulondo

Twe bhanenu twe bha Chadema Twisile lelo kukaja, twisile Nkubhasosyamo mfifufumbwa fya bhulondo ifi abha ccm bhababikilemo mfyenja ifi fikindile amalongo 6.

Wazee wetu tupokeeni, Tumekuja na Ajenda nyingi mno, ikiwemo kukomboa soko la Halmashauri ya Wilaya ya Kyela lililoporwa bila aibu na ccm.

#WATAKE WASITAKE

Wameisha mwachia maana nasikia Polisi wanamahikilia kwa kosa la kushirikiana na ACT Wazalendo
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe anaingia Jimbo la Kyela kwa ajili ya kuwanadi wagombea wa Chama chake kwenye Uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mitaa.

Mpaka naandika hapa Shamrashamra za ujio wa Mwamba zinaendelea, Nitakuwepo na sasa niko njiani kuelekea Kyela baada ya Jana kushiriki Uzinduzi wa kampeni hizo Mbarali

View attachment 3158603

Bha Tata na Bha Jubha, Ndaga Mutukunyike ni mbombo, ndaga muhangajike nu ubhulondo

Twe bhanenu twe bha Chadema Twisile lelo kukaja, twisile Nkubhasosyamo mfifufumbwa fya bhulondo ifi abha ccm bhababikilemo mfyenja ifi fikindile amalongo 6.

Wazee wetu tupokeeni, Tumekuja na Ajenda nyingi mno, ikiwemo kukomboa soko la Halmashauri ya Wilaya ya Kyela lililoporwa bila aibu na ccm.

#WATAKE WASITAKE
Ameshakamatwa na kuwekwa ndani
 
Ndaga Mutwambilile twe Bhaninu

Screenshot_2024-11-23-12-18-49-1.png
Screenshot_2024-11-23-12-19-33-1.png
 
Back
Top Bottom