Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Huyo jamaa amejisahau mno!Jana JIMBONI KWA Tundu Lissu, Singida Mashariki nimesikia CHADEMA wameweka wagombea 91.7% kwenye vijiji na vitongoji...
Huko Tarime mji nasikia CHADEMA imeweka wagombea 90% kwenye mitaa na Tarime Vijijini zaidi ya 80% kuna wagombea wa CHADEMA kwenye vijiji na vitongoji...
Hiyo 99.9% itapitia Kona ipi...?
Na Tundu Lissu amewaambia wana Tarime kuwa wakinyang'anywa ushindi kwa nguvu wasmpigie simu kumlilia ila atataka asikie huyu aliyemtangaza wa CCM ambaye hakushida afanywa nini...!
Bro, pamoja na engua engua, hakuna cha 99.9% kwa CCM this time..
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe anaingia Jimbo la Kyela kwa ajili ya kuwanadi wagombea wa Chama chake kwenye Uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mitaa.
Mpaka naandika hapa Shamrashamra za ujio wa Mwamba zinaendelea, Nitakuwepo na sasa niko njiani kuelekea Kyela baada ya Jana kushiriki Uzinduzi wa kampeni hizo Mbarali
View attachment 3158603
Bha Tata na Bha Jubha, Ndaga Mutukunyike ni mbombo, ndaga muhangajike nu ubhulondo
Twe bhanenu twe bha Chadema Twisile lelo kukaja, twisile Nkubhasosyamo mfifufumbwa fya bhulondo ifi abha ccm bhababikilemo mfyenja ifi fikindile amalongo 6.
Wazee wetu tupokeeni, Tumekuja na Ajenda nyingi mno, ikiwemo kukomboa soko la Halmashauri ya Wilaya ya Kyela lililoporwa bila aibu na ccm.
#WATAKE WASITAKE
Ameshakamatwa na kuwekwa ndaniTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe anaingia Jimbo la Kyela kwa ajili ya kuwanadi wagombea wa Chama chake kwenye Uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mitaa.
Mpaka naandika hapa Shamrashamra za ujio wa Mwamba zinaendelea, Nitakuwepo na sasa niko njiani kuelekea Kyela baada ya Jana kushiriki Uzinduzi wa kampeni hizo Mbarali
View attachment 3158603
Bha Tata na Bha Jubha, Ndaga Mutukunyike ni mbombo, ndaga muhangajike nu ubhulondo
Twe bhanenu twe bha Chadema Twisile lelo kukaja, twisile Nkubhasosyamo mfifufumbwa fya bhulondo ifi abha ccm bhababikilemo mfyenja ifi fikindile amalongo 6.
Wazee wetu tupokeeni, Tumekuja na Ajenda nyingi mno, ikiwemo kukomboa soko la Halmashauri ya Wilaya ya Kyela lililoporwa bila aibu na ccm.
#WATAKE WASITAKE
Hawatamkamata mileleAmeshakamatwa na kuwekwa ndani
Kosa siyo kushirikiana na ACT, Ni kwa sababu anahutubia mkoa ambao siyo kwaoWameisha mwachia maana nasikia Polisi wanamahikilia kwa kosa la kushirikiana na ACT Wazalendo
Wazee wetu tupokeeni, Tumekuja na