Kyela Mbeya: Mwalimu ahukumiwa kifungo Cha miaka 30 faini laki Tano na fimbo 4 Kwa kumbaka mwanafunzi

Kyela Mbeya: Mwalimu ahukumiwa kifungo Cha miaka 30 faini laki Tano na fimbo 4 Kwa kumbaka mwanafunzi

Hivi yule Rc wa Simiyu aliyemlawiti mwanafunzi vipi!? Nikishawahi kuandika Uzi humu kuhusu haki Tanzania!! Wanyonge tuu ndio hufungwa Tanzania!!
 
Majina Huwa yanamfanya mtu aenda e na maana ya jina lake.huyu amekuwa mhanga kama jina lake lilivyo
 
Mwalimu wa shule ya msingi Ngeleka iliyopo Halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya Juma Venance Mhanga, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela, kulipa faini ya shilingi laki tano pamoja na kuchapwa fimbo 4 baada ya kupatikana na kosa la ubakaji wa binti mwenye umri wa miaka 13.
Tatizo lilianza alipoamua kubadili jina la John na kujiita Juma
 
Back
Top Bottom