Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
kuna video nahangaika kuipandisha , ukiona hii video utaelewa nguvu ya Chadema .Jino kwa Jino Oparesheni +255
Sasa huo msiba ama fursa za harakati za kisiasa ?!!! [emoji15][emoji15]Mwakilishi wa Chadema kwenye Msiba wa Diwani wa Kata ya Nkokwa , amemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo kuchunguza ufisadi unaofanywa na Halmashauri hiyo .
Huku akishangiliwa na waombolezaji , Mwakilishi huyo amewatangazia wana Kyela , ujio wa Oparesheni 255 kwenye eneo hilo na kuahidi kuanika kila uchafu unaofichwa , anezungumzia bei ya Petroli na Mgao wa umeme , jambo lililozidisha simanzi kwenye msiba huo .
Jambo Muhimu ni kwamba Chadema imegawa Bahasha kadhaa zenye vitita vya Rambi rambi kwa Mwenyekiti wa ccm(wilaya) , Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo na Bahasha nyingine imepewa familia ya Marehemu .
Ipandishe Mkuu niko hapa Barazani nimeagiza Konyagi ndogo.kuna video nahangaika kuipandisha , ukiona hii video utaelewa nguvu ya Chadema .
[emoji1787][emoji1787]kuna video nahangaika kuipandisha , ukiona hii video utaelewa nguvu ya Chadema .
ameambiwa Kwamba akague halmashauri kwa ufisadiNilikuwa natafuta taarifa ya sikio kingatwa
Kweli nusu mkate mbowe kaweka kwapani!Mwakilishi wa Chadema kwenye Msiba wa Diwani wa Kata ya Nkokwa , amemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo kuchunguza ufisadi unaofanywa na Halmashauri hiyo .
Huku akishangiliwa na waombolezaji , Mwakilishi huyo amewatangazia wana Kyela , ujio wa Oparesheni 255 kwenye eneo hilo na kuahidi kuanika kila uchafu unaofichwa , amezungumzia bei ya Petroli na Mgao wa umeme , jambo lililozidisha simanzi kwenye msiba huo .
Jambo Muhimu ni kwamba Chadema imegawa Bahasha kadhaa zenye vitita vya Rambi rambi kwa Mwenyekiti wa ccm(wilaya) , Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo na Bahasha nyingine imepewa familia ya Marehemu .
Wamepigwa mno za usoCCM ni majangili
Yanasikia? lazima wananchi wabadilike kwanzaWamepigwa mno za uso
Safari hii tutawanyooshaYanasikia? lazima wananchi wabadilike kwanza
Mungu ibariki CHADEMAMwakilishi wa Chadema kwenye Msiba wa Diwani wa Kata ya Nkokwa , amemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo kuchunguza ufisadi unaofanywa na Halmashauri hiyo .
Huku akishangiliwa na waombolezaji , Mwakilishi huyo amewatangazia wana Kyela , ujio wa Oparesheni 255 kwenye eneo hilo na kuahidi kuanika kila uchafu unaofichwa , amezungumzia bei ya Petroli na Mgao wa umeme , jambo lililozidisha simanzi kwenye msiba huo .
Jambo Muhimu ni kwamba Chadema imegawa Bahasha kadhaa zenye vitita vya Rambi rambi kwa Mwenyekiti wa ccm(wilaya) , Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo na Bahasha nyingine imepewa familia ya Marehemu .
Haijaisha tuIpandishe Mkuu niko hapa Barazani nimeagiza Konyagi ndogo.
.Jino kwa Jino Oparesheni +255
Labda mkuuSafari hii tutawanyoosha