Kyela: Sugu aendelea kuelimisha wananchi kuikataa CCM

Kyela: Sugu aendelea kuelimisha wananchi kuikataa CCM

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii hapa ni Kata ya Kipeta , akishirikiana na Daniel Naftari , kijana aliyeporwa ubunge 2020 kwa mtutu wa bunduki

Screenshot_2023-09-19-20-39-03-1.png

Screenshot_2023-09-19-20-39-06-1.png

Screenshot_2023-09-19-20-38-55-1.png

Screenshot_2023-09-19-20-38-59-1.png

Kinachoogopesha ni umati unaojaa kwenye mikutano yake , yaani huwezi kutofautisha na ile inayoendelea Lindi na Mtwara
 
O'Shea Jackson (ICE CUBE) wa bongo huyo ,Maarufu sugu or mr 2

Anasonga mtaa kwamtaa

Bampa to bampa
 
Angalia wasije wakawa kama mashabiki wa juma nature enzi hizo,wanajaa kwenye show,albamu hawanunui.
 
Ndio leo najua jina la huyo mbunge
Anajitahidigi sana kutoa michango mbalimbali bungeni,ni mtu mzuri na sahihi kwa wana-Kwela,labda tatizo iwe chama alichopo.Yawezekana humfahamu vema jina lake kwasababu ni mara yake ya kwanza kuwepo bungeni.
 
Moderator uliye zamu una chuki sana ! uzi wa kisiasa umeupeleka Jamii photo ! halafu umeediti uongo , Kwela siyo Kyela , yaani kwa vile unajua mimi natokea kyela basi umeamua kuharibu uzi wangu !

Naona Aibu sana kuisema JF , Lakini hili mkuu umeboronga sana , sitaki kuamini kwamba umelipwa ili unihujumu lakini kuanzia sasa naanza kukufuatilia , itajulikana tu .
 
Moderator uliye zamu una chuki sana ! uzi wa kisiasa umeupeleka Jamii photo ! halafu umeediti uongo , Kwela siyo Kyela , yaani kwa vile unajua mimi natokea kyela basi umeamua kuharibu uzi wangu !

Naona Aibu sana kuisema JF , Lakini hili mkuu umeboronga sana , sitaki kuamini kwamba umelipwa ili unihujumu lakini kuanzia sasa naanza kukufuatilia , itajulikana tu .
Yawezekana baadhi ya moderators wanalipika.
 
Mwambieni ajinadi amwage sera zake maombo ya CCM na katiba yasimtoe kwenye dira
 
Back
Top Bottom