Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ndio leo najua jina la huyo mbungeAnawa-zoom tu mbunge wa huko,ndugu Deus Sangu.
Jamaa anapambana sanaHii hapa ni Kata ya Kipeta , akishirikiana na Daniel Naftari , kijana aliyeporwa ubunge 2020 kwa mtutu wa bunduki
View attachment 2755163
View attachment 2755165
View attachment 2755166
View attachment 2755168
Kinachoogopesha ni umati unaojaa kwenye mikutano yake , yaani huwezi kutofautisha na ile inayoendelea Lindi na Mtwara
Ccm wakiona hivi......wanaona nyani tuHii hapa ni Kata ya Kipeta , akishirikiana na Daniel Naftari , kijana aliyeporwa ubunge 2020 kwa mtutu wa bunduki
View attachment 2755163
View attachment 2755165
View attachment 2755166
View attachment 2755168
Kinachoogopesha ni umati unaojaa kwenye mikutano yake , yaani huwezi kutofautisha na ile inayoendelea Lindi na Mtwara
Anajitahidigi sana kutoa michango mbalimbali bungeni,ni mtu mzuri na sahihi kwa wana-Kwela,labda tatizo iwe chama alichopo.Yawezekana humfahamu vema jina lake kwasababu ni mara yake ya kwanza kuwepo bungeni.Ndio leo najua jina la huyo mbunge
Yawezekana baadhi ya moderators wanalipika.Moderator uliye zamu una chuki sana ! uzi wa kisiasa umeupeleka Jamii photo ! halafu umeediti uongo , Kwela siyo Kyela , yaani kwa vile unajua mimi natokea kyela basi umeamua kuharibu uzi wangu !
Naona Aibu sana kuisema JF , Lakini hili mkuu umeboronga sana , sitaki kuamini kwamba umelipwa ili unihujumu lakini kuanzia sasa naanza kukufuatilia , itajulikana tu .
Hilo tutalifanyia kazi na tutafunua kila kitu hapa hapa JF , Liwalo na liweYawezekana baadhi ya moderators wanalipika.
Kama amefanya kwa makusudi,kazingua.Hilo tutalifanyia kazi na tutafunua kila kitu hapa hapa JF , Liwalo na liwe
Ni makusudi tuKama amefanya kwa makusudi,kazingua.
Mungu ibariki CHADEMA[emoji173]Hii hapa ni Kata ya Kipeta , akishirikiana na Daniel Naftari , kijana aliyeporwa ubunge 2020 kwa mtutu wa bunduki
View attachment 2755163
View attachment 2755165
View attachment 2755166
View attachment 2755168
Kinachoogopesha ni umati unaojaa kwenye mikutano yake , yaani huwezi kutofautisha na ile inayoendelea Lindi na Mtwara