Alafu ujenzi wa serikali una formalities ngumu zonazoongeza cost. Hapo alitafutwa Mkandarasi, mchoro ulitolewa kwa zabuni, viongozi kukagua kila hatua au consultant n.kBinafsi naweza nikasema ni sawa kwa kile kibanda cha M7 kwa sababu
Gharama za ujenzi sass ivi zipo juu mnoo
Kama una experience ya ujenzi wa sasa utaelewa tub
Hawaelewi watuAlafu ujenzi wa serikali una formalities ngumu zonazoongeza cost. Hapo alitafutwa Mkandarasi, mchoro ulitolewa kwa zabuni, viongozi kukagua kila hatua au consultant n.k
HaitoshiBox mia na nusu inatosha .[150m]
Ngapi inatosha?Haitoshi
Milioni 40.8 au 408? anyway...with the party in power anything is possibleHii ndio nchi yetu ambayo inajali wananchi na kuwasogezea huduma. Hili ni jengo la Tanesco lenye thamani ya milioni 408. View attachment 1946723
300+Ngapi inatosha?
Ila tukiwa wakweli, haikupaswa kuzidi 200mMbona gharama za kawaida tuu hizo?? Hahaha
Wamepiga ndefu sana walahiHii ndio nchi yetu ambayo inajali wananchi na kuwasogezea huduma. Hili ni jengo la Tanesco lenye thamani ya milioni 408. View attachment 1946723
Lakini tulishakubaliana Mama alete pesa mtaani kwa njia yoyote ile! Subiri na posho za Watumishi walio safiri na Mama kutoka US wakirudi nazo zitamwagikaa mtaani!!Bora tuu hizi pesa tule wote maana wanasiasa wanaongoza kula mema ya nchi. Ilitakiwa jengo lijengwe ata 1biliyoni