Kylian Mbappe dhidi ya Gadiel Michael, tubadilike Watanzania

Kylian Mbappe dhidi ya Gadiel Michael, tubadilike Watanzania

Nadhani ingekuwa vyema kujadili Yanga iliyofanya usajili wa pesa nyingi halafu bado wachezaji wake hawana performance ya wachezaji wa Simba yenye first 11 iliyojaa wenyeji zaidi.
Simba hii ambayo akikosekana mchezaji mmoja tu inakosa ushindi ndo unaifananisha na Yanga
 
Leo tumewafunga coast 3-0
Ni offside?
Bahasha?
Penati?

Mara zote hizi tumewafunga nyie simba kuanzia Ngao
Ni offside?
Ni bahasha?
Penati?

Club africaine ya tunisia tuliifunga kwao

Ni offside?
Ni bahasha?,
Ni penati?

Jamani fanyeni sajili za kutulia hapo ndio mnapokoseaga na hata sasa mmejiingiza kwa saidor mmeshapotea,kwani hamna scouting ya nguvu⁸
Yaani nyie mnaokotezaga tu wachezaji baadala ya kukaa na kupanga na kutoka nje ya nchi..masubiria tu mara Akpan,mara Kibu,mara Deejan na sasa Saidor...mchezaji ambaye bado ana mapenzi na wananchi kwa kauli yake mara ya mwisho,mna hakika atajitoa 100% siku tukikutana? Mnafeli sana nyie kwenye sajili

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Waacheni hivyo hivyo na ujinga wao
 
Mkuu ushirikina kwenye soka la Bongo ni kawaida....kuna ile mechi ya fainali ya FA iliyochezwa kigoma Simba na Yanga.

Simba walifanya yao uwanjani kisha wakaweka ulinzi Yanga wasiingie,Yanga walienda uwanjani mida ya usiku kama saa2 hivi kufika getini wanakuta ulinzi wa vijana wa Simba, zilitokea vurugu kubwa sana.

Simba amesharoga na Yanga anataka kuingia kuroga....warogaji wa Simba walikuwa vijana wa Kigoma,Yanga wao walikuwa jamaa kutoka Dar maana walikuwa wanachonga sana hadi kutishiana eti vijana wa Simba wasikanyage Dar,watakiona cha moto....nilicheka sana aise!

Simba walifanikiwa kulinda geti mpaka asubuhi maana walikuwa na vijana wa KAZI,Yanga walipeleka vibonge wala chips wanaume wa Dar wakafeli kuroga.

Ukiacha ya Mbape na Gadiel maiko....waulize Tifua Tifua wale vijana waliocheza fainali ya Copa coca cola kule Brazil na kina Neymar mbona hatukuwaona hata ligi ya madafu walipotelea wapi?
Ushirikina unaendekezwa na watu kama nyinyi ambao mnauamini.
 
Usiongelee kwenye soka tu. Panua mawanda ya hoja yako. Ni sekta au fani gani ambako tunafanya vizuri na kwa viwango vinavyotakiwa? Si mifumo yetu yote imeoza na kila kitu kinakwenda ndivyo sivyo? Nini kinakufanya uamini kuwa kwenye soka kutakuwa na unafuu wakati mambo yetu ni shaghalabaghala tu?
Ndio maana nasisitiza tujikite tu sekta ya mapenzi kwingine kote tumefeli. Tuendelee kuenzi mizigo mzee mwenzangu.
 
Haya ukitoa huyo gadiel. Mchezaji yupi hapa bongo amefikia walau level za bukayo saka ukiachana na uyo mbape
 
Back
Top Bottom