Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakupigia Honey!!!!hiii nyimbo imetulia...
huyu dogo na Stara T
wameipatia hii nyimbo au mnaonaje........????
Tuwekeeni hapa basi na sisi ´tuisikie wajameni.
Nafikiri uliisikiliza kwa mashaka mashaka, jamaa yuko job, anapata story anawaza akampigie my wife wake! Its cool, inamaanisha your wife/hubby is supposed to be a good friend of yours as well. Mi nafikiri wamewakilisha mapenzi kwa wakubwa (acha zile za nakupenda, nitakununulia gari etc).haina maana kwa jamii, ni midundo tu. Nafikiri walijali sana midundo si kuelemisha jamii.
Sorry kama nimebore but that is the reality.
Tuwekeeni hapa basi na sisi ´tuisikie wajameni.
hii nyimbo naipenda peke yangu naona....
Wwe tu hujaona.Lakini inaelimisha sana tu.haina maana kwa jamii, ni midundo tu. Nafikiri walijali sana midundo si kuelemisha jamii.
Sorry kama nimebore but that is the reality.