La CAG limeisha, maisha yanaendelea. Wapigaji wanawekeza kwenye miradi yao, Bahari imetulia. Nchi hii ngumu sana

La CAG limeisha, maisha yanaendelea. Wapigaji wanawekeza kwenye miradi yao, Bahari imetulia. Nchi hii ngumu sana

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
1. Tule tunywe tufurahi, la CAG limeisha bahari imetulia. Walioiba wanapanga miradi gani wawkeze, zizae maisha yaendelee wao na wanao wahusu.

2. Mama Amemaliza kila kitu kwa neno moja tu la stupid.
 
Katika nchi yetu kuna rais anatafuta halafu kuna rais mwingine anakuja kutumia. Nyerere alitafuta, akaja Ruksa akala vyote mpaka nchi ikawa fukara. Akaja Mkapa akaisuka kibubu kikatuna. Akaja Mishen Town akafuja na ufisadi mkubwa mno wa EPA, RICHMOND, ESCROW, MEREMETA nk nk nk, yaani nchi ikawa tambala bovu.

Huo upigaji SGR ingetoka Dar mpaka South Afrika. Akaja Bulldozer akajenga nchi, kila mwenye macho haambiwi tazama historia ikaandikwa tokea Nyerere, Watanzania wakasema sasa wamepata kiongozi. Sasa tulipo ni awamu ya wazuri hawafi kwa utamu wa kulamba asali. No mission, no vision, kila jambo hili nalo mka litizame, hoja za CAG zimeonyesha matobo ya hatari.

Ukwapuaji wa mali za nchi uko full gear.
 
1. Tule tunywe tufurahi , la CAG limeisha , bahari imetulia. Walioiba wanapanga miradi gani wawkeze, zizae maisha yaendelee wao na wanao wahusu.

2. Mama Amemaliza kila kitu kwa neno moja tu

STUPID
Mama Kasema STUPID au NONSES?
 
Kwa wote Vasco da Gama aka lete maneno. Ndio alikuwa kioja. Nchi lilokuwa shaghalabagala, na hata kujenga miundombinu ya kuwahadaia Watanzania anashindwa. Walao Mzee Ruksa uungwana ulimbeba pamoja na uswahiba aliokuwa nao Ikulu.
 
Yeah ni kweli mtoa mada, hii nayo ni cold case! Ajali iliyopoteza maisha ya mwanachuo wa UDOM nayo ni cold case! Tanzania ina wenyewe na sasa hata aibu hawana, wanatamka hadharani kuwa walikuwa wanaachiana majimbo ya so called uchaguzi! Royal families 👪 nhe ila KULI alitamka yote yana mwisho.
 
1. Tule tunywe tufurahi , la CAG limeisha , bahari imetulia. Walioiba wanapanga miradi gani wawkeze, zizae maisha yaendelee wao na wanao wahusu.

2. Mama Amemaliza kila kitu kwa neno moja tu

STUPID
Na tunao watu chungu nzima hapa, wanataka miaka mitano au zaidi ya namna hii.

Na haitashangaza hata kidogo, tukijikuta hivyo ndivyo itakavyokuwa.

Jameni, hii nchi mbona imekuwa ni ya watu wa namna hii?

Miaka yote hiyo inapotea tu, nchi bila kupiga hatua yoyote kwenda mbele, halafu bado tunategemea Tanzania yenye maendeleo?
 
Katika Nchi yetu kuna Rais anatafutaaaaaaaa halafu kuna Rais mwingine anakuja kutumia tuuu. Nyerere alitafutaaaaa Akaja Ruksa akala vyoooote mpaka Nchi ikawa fukara. Akaja Mkapa akaisuka weeeeee kibubu kikatuna.
Akaja Mishen Town akafujaaaaaa na Ufisadi mkubwa mnooo wa EPA, RICHMOND, ESCROW, MEREMETA nk nk nk yaaani Nchi ikawa tambala bovu.
Huo Upigaji SGR ingetoka Dar Mpaka South Afrika.
Akaja Bulldozer akajenga Nchi kila mwenye macho haambiwi tazama historia ikaandikwa tokea Nyerere Watanzania wakasema sasa wamepata Kiongozi.
Sasa tulipo ni Awamu ya WAZURI HAWAFI kwa Utamu wa Kulamba asali. NO MISSION NO VISSION kila jambo HILI NALO MKALITIZAME hoja za CAG zimeonyesha matobo ya hatari. Ukwapuaji wa Mali za Nchi uko FULL GEAR
Hizo ni hisia zako tu. Rais Samia anatafuta hela za halali na ni nyingi kweli kweli.
Ndiyo maana anaweka fedha nyingi sana kwenye kilimo, ujenzi wa madarasa na kwenye maslahi ya watumishi wa umma.
Haya mambo matatu tu serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuwafanya kwa miaka sita.
 
Real accountability inaanza kwa wananchi wenyewe, if you don't punish stupidity ya viongozi wenu tunategemea nini... tunapata viongozi tunaowastahili, hawatuogopi na sisi tunawachekea.
 
1. Tule tunywe tufurahi, la CAG limeisha bahari imetulia. Walioiba wanapanga miradi gani wawkeze, zizae maisha yaendelee wao na wanao wahusu.

2. Mama Amemaliza kila kitu kwa neno moja tu la stupid.
Asali haijawahi kumuacha mtu salama!
 
Hizo ni hisia zako tu. Rais Samia anatafuta hela za halali na ni nyingi kweli kweli.
Ndiyo maana anaweka fedha nyingi sana kwenye kilimo, ujenzi wa madarasa na kwenye maslahi ya watumishi wa umma.
Haya mambo matatu tu serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuwafanya kwa miaka sita.
wewe ni chawa mfu
 
Katika Nchi yetu kuna Rais anatafutaaaaaaaa halafu kuna Rais mwingine anakuja kutumia tuuu. Nyerere alitafutaaaaa Akaja Ruksa akala vyoooote mpaka Nchi ikawa fukara. Akaja Mkapa akaisuka weeeeee kibubu kikatuna.
Akaja Mishen Town akafujaaaaaa na Ufisadi mkubwa mnooo wa EPA, RICHMOND, ESCROW, MEREMETA nk nk nk yaaani Nchi ikawa tambala bovu.
Huo Upigaji SGR ingetoka Dar Mpaka South Afrika.
Akaja Bulldozer akajenga Nchi kila mwenye macho haambiwi tazama historia ikaandikwa tokea Nyerere Watanzania wakasema sasa wamepata Kiongozi.
Sasa tulipo ni Awamu ya WAZURI HAWAFI kwa Utamu wa Kulamba asali. NO MISSION NO VISSION kila jambo HILI NALO MKALITIZAME hoja za CAG zimeonyesha matobo ya hatari. Ukwapuaji wa Mali za Nchi uko FULL GEAR
Hakuna RAIS anayetafuta tu na anayetumia tu....mtazamo wako huwenda usiwe na uhalisia hata chembe......

Kila awamu imepitia CHANGAMOTO zake........

Kila awamu kumekuwepo na UFISADI....labda ni kutokana na KUTOKUWEPO uwazi sana katika awamu hiyo ....labda......hapa nako chunguza......

Marais wote waliotutumikia wamejitahidi kadri ya uwezo wao kulipigisha hatua taifa letu pendwa.....hakuna wa KUNYOOSHEWA kidole cha ubaya.....ukichunguza sana....wenye kumnyooshea RAIS fulani kidole cha ubaya labda hutokana na yafuatayo:-

1)Msukumo hasi wa HISIA usio na UHALISIA

2)Ubaguzi wowote dhidi ya huyo rais

3)Siasa hasi dhidi ya huyo Rais

4)Upatikanaji wa taarifa zisizo sahihi na zenye upotoshaji dhidi ya awamu ya huyo Rais

5)Makundi kinzani ya kisiasa dhidi ya huyo Rais ndani ya chama chake na nje ya chama chake

6)Mrengo kinzani wa itikadi ya kisiasa dhidi ya huyo Rais

*********************

NCHI HII HATOTOKEA RAIS MALAIKA


#SIEMPREJMT[emoji120]
 
Back
Top Bottom