Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu hujui mzee, Mwinyi unaweza kusema alikula nn?Katika Nchi yetu kuna Rais anatafutaaaaaaaa halafu kuna Rais mwingine anakuja kutumia tuuu. Nyerere alitafutaaaaa Akaja Ruksa akala vyoooote mpaka Nchi ikawa fukara. Akaja Mkapa akaisuka weeeeee kibubu kikatuna.
Akaja Mishen Town akafujaaaaaa na Ufisadi mkubwa mnooo wa EPA, RICHMOND, ESCROW, MEREMETA nk nk nk yaaani Nchi ikawa tambala bovu.
Huo Upigaji SGR ingetoka Dar Mpaka South Afrika.
Akaja Bulldozer akajenga Nchi kila mwenye macho haambiwi tazama historia ikaandikwa tokea Nyerere Watanzania wakasema sasa wamepata Kiongozi.
Sasa tulipo ni Awamu ya WAZURI HAWAFI kwa Utamu wa Kulamba asali. NO MISSION NO VISSION kila jambo HILI NALO MKALITIZAME hoja za CAG zimeonyesha matobo ya hatari. Ukwapuaji wa Mali za Nchi uko FULL GEAR
😂Yawezekana kabisa, mbinguni Tanzania ni channel ya vichekesho
Id yako pekee inatambulisha kwamba kichwani umejaza kamasi badala ya akili. Sitaki kubishana na pipa tupuHizo ni hisia zako tu. Rais Samia anatafuta hela za halali na ni nyingi kweli kweli.
Ndiyo maana anaweka fedha nyingi sana kwenye kilimo, ujenzi wa madarasa na kwenye maslahi ya watumishi wa umma.
Haya mambo matatu tu serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuwafanya kwa miaka sita.
sio kila hoja watu wamepiga hela mkuu. Nyingine ni kukosekana baadhi ya vielelezo tu wakati wa ukaguzi.1. Tule tunywe tufurahi, la CAG limeisha bahari imetulia. Walioiba wanapanga miradi gani wawkeze, zizae maisha yaendelee wao na wanao wahusu.
2. Mama Amemaliza kila kitu kwa neno moja tu la stupid.
Kwa hiyo vielelezo vikikosekana assumption ya kwanza kichwani kwako ni nini?sio kila hoja watu wamepiga hela mkuu. Nyingine ni kukosekana baadhi ya vielelezo tu wakati wa ukaguzi.