La CAG limeisha, maisha yanaendelea. Wapigaji wanawekeza kwenye miradi yao, Bahari imetulia. Nchi hii ngumu sana

La CAG limeisha, maisha yanaendelea. Wapigaji wanawekeza kwenye miradi yao, Bahari imetulia. Nchi hii ngumu sana

Kwa neno moja tu, nchi imetulia, bahari ipo shwari, maisha yanasonga.

Neno moja tu, STUPID!
Nchi ya watu wa HOVYO sana hii.
 
Katika Nchi yetu kuna Rais anatafutaaaaaaaa halafu kuna Rais mwingine anakuja kutumia tuuu. Nyerere alitafutaaaaa Akaja Ruksa akala vyoooote mpaka Nchi ikawa fukara. Akaja Mkapa akaisuka weeeeee kibubu kikatuna.
Akaja Mishen Town akafujaaaaaa na Ufisadi mkubwa mnooo wa EPA, RICHMOND, ESCROW, MEREMETA nk nk nk yaaani Nchi ikawa tambala bovu.
Huo Upigaji SGR ingetoka Dar Mpaka South Afrika.
Akaja Bulldozer akajenga Nchi kila mwenye macho haambiwi tazama historia ikaandikwa tokea Nyerere Watanzania wakasema sasa wamepata Kiongozi.
Sasa tulipo ni Awamu ya WAZURI HAWAFI kwa Utamu wa Kulamba asali. NO MISSION NO VISSION kila jambo HILI NALO MKALITIZAME hoja za CAG zimeonyesha matobo ya hatari. Ukwapuaji wa Mali za Nchi uko FULL GEAR
Kuna vitu hujui mzee, Mwinyi unaweza kusema alikula nn?
Mwinyi amekuta nchi hii baadhi ya maeneo hata chumvi tu hakuna na Kuna sehemu watu wanavaa magunia
 
Hizo ni hisia zako tu. Rais Samia anatafuta hela za halali na ni nyingi kweli kweli.
Ndiyo maana anaweka fedha nyingi sana kwenye kilimo, ujenzi wa madarasa na kwenye maslahi ya watumishi wa umma.
Haya mambo matatu tu serikali ya awamu ya tano ilishindwa kuwafanya kwa miaka sita.
Id yako pekee inatambulisha kwamba kichwani umejaza kamasi badala ya akili. Sitaki kubishana na pipa tupu
 
Position ya CAG ni useless miaka yote sio Sasa. Ripoti ya CAG huwa inampa CAG mwenyewe 15mins of fame zikiisha maisha yanaendelea imekua hivyo miaka yote na itaendelea hivyo.
 
1. Tule tunywe tufurahi, la CAG limeisha bahari imetulia. Walioiba wanapanga miradi gani wawkeze, zizae maisha yaendelee wao na wanao wahusu.

2. Mama Amemaliza kila kitu kwa neno moja tu la stupid.
sio kila hoja watu wamepiga hela mkuu. Nyingine ni kukosekana baadhi ya vielelezo tu wakati wa ukaguzi.
 
😅😅😅😅😅 Punguzeni makasiriko,nyie wajinga wa kuchanganua Mambo ndo mmetufikisha hapa shwaini.
Ningekuona wa maana,Kama ungegusia kilio Cha wengi na Cha msingi KATIBA MPYA,
halafu kuwakanya hai KIJANI.
Kwa not miaka nenda Rudi ni wao,huoni Kama hapo Kuna shida.

Akili zenu Kama SENENE,anaficha kichwa alafu huku ......
Usoni wako haujakusaidia kitu,
Dira yenu mbovu tu.
Hamnaga machungu na Nchi Bali mfumo umekuacha nje.
Unatutajia Marais wote wa chama Cha mapinduzi,huna hata aibu.
Mbafu Sana weye,

Acha wale tu hakuna namna niwenzako.
Ukimaindi fresh tu🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩tushawachoka dizaini ya Akina MSIBA.

So,Mama mwacheni washenzi nyie.yuko vizuri Hanaga makasiriko.
Msikilizeni ROMA MKATORIKI.
NAPIGA gambe hapa nipo 'NZII".
 
sio kila hoja watu wamepiga hela mkuu. Nyingine ni kukosekana baadhi ya vielelezo tu wakati wa ukaguzi.
Kwa hiyo vielelezo vikikosekana assumption ya kwanza kichwani kwako ni nini?

Yaani mradi wa ujenzi fulani unakosa vielelezo kadhaa utasema walisahau, walivichoma moto, walizembea au utasemaje?

Acheni kutetea ujinga wakuu.
 
Back
Top Bottom