Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,183
- 3,521
Weekend hii nilikuwepo Mori Sinza pale la chaaz pub kuna mambo yamenishangaza kwa kweli hasa haya yafuatayo :
1. Utitiri wa wanawake wanaojiuza la chaaz pub pamoja na uzuri wao wote bado wanashindwa kuolewa isipokuwa option ya kujiuza.
2. Muda niliokuwepo hapa sijamuona mtu mzima wote ni vijana 24-45. Je watu wazima ndio walikuwa wapiga dili peke yao?? Vijana wao bado mambo mazuri,,!??
3. Hawa gentlemen wanao wachukua Hawa wakina dada ina maana hawajaoa ???? Maana kwa makamo yao (35-45) imenitia mashaka sana.
4. La chaaz pub sio siri kuna watoto Wazuri sana, naona wanaowachukua wote Wana magari, sasa mimi niliyekuja na bodaboda nishajawa na hofu.....
5. Jamani karibuni bata batani le Sinza Mori.
.............
1. Utitiri wa wanawake wanaojiuza la chaaz pub pamoja na uzuri wao wote bado wanashindwa kuolewa isipokuwa option ya kujiuza.
2. Muda niliokuwepo hapa sijamuona mtu mzima wote ni vijana 24-45. Je watu wazima ndio walikuwa wapiga dili peke yao?? Vijana wao bado mambo mazuri,,!??
3. Hawa gentlemen wanao wachukua Hawa wakina dada ina maana hawajaoa ???? Maana kwa makamo yao (35-45) imenitia mashaka sana.
4. La chaaz pub sio siri kuna watoto Wazuri sana, naona wanaowachukua wote Wana magari, sasa mimi niliyekuja na bodaboda nishajawa na hofu.....
5. Jamani karibuni bata batani le Sinza Mori.
.............