La Chalz Sinza, ni Kijiwe cha makaka poa

La Chalz Sinza, ni Kijiwe cha makaka poa

Ukimuonaa mwanaume anapendaa saana kwenda la chalz sinza ujue naye ni mtumiaji wa mtandao wa goti manake pale ndo soko lao kuu zamani ilijulikana kama lavico .....So kuwa makini sio kilaa bar ya kuingiaa mjini ukienda pale kwa waanaojuaa wanajua kuwa ww ndo wale wale usishngae unafatwaa uanze kutukana tukana ovyo ndo bucha lao lili.....!!
Mbona unaandika kama James Delicious, so ndio washindani wenu hao?
 
Back
Top Bottom