La Chalz Sinza, ni Kijiwe cha makaka poa

Vijana wa kisasa mna maneno kutu sana...[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Yaani sikua nime elewa lolote alilo andika mleta uzi hadi baada ya kudadavu comments kadhaa, ndipo nikajikuta nina ng'amua maana nzima ya uzi huu....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12].
 
Ngoja nimtume mtu akapige kambi aniletee feedback kabla sijazama kuwaopoa
 
Mkuu hiko kijiwe kiko pande zipi mbona mm ckijui? Hebu toa location yake fasta.
 
acha tu yaan sasa hvi kila sehemu utaambiwa kuna wanaojiuza na sisi je twende wapi kulewa
kubanana humo humo inabidi weekend hii nipite nikakague .. nina muda sijapita hapo na nitaka mpaka usiku kabisa
 
Labda siku za karibuni. Nimeshakaa pale na rafiki kadhaa palikuwa kawaida. Nilipenda mno makange yake ya kuku kwa chipsi. Sijawahi ona utengenezaji kama ule.
 
poa leo siende tena sarenda kuangalia zile vitu
Haaa. Haaa. Haaaa, ila kama hao wa kwako, wapo na huku University road, asubuhi na jioni, tena wenyewe wanavaa na yale maspika makubwa ya sikioni au earphone, basi hata ukitaka kumgonga, ukipiga honi hawasikii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…