uyu anaweza akawa ana share na igo kaja kuharibu biashara ya watuI also see the same....zamani walikuwa kama watu fulani wanajuana kila siku wanakutana hapo...sijui maana times change au ndio mtu wa Igo Lounge amekuja kivingine.
Nilikuwa nataka kujua maana ya m akange ya kuku sijui ni kiungo gani na kwenye kiswahili sijawahi kusikia hili neno anyway karbu Upangamuwe mnakuja mjini hata mara moja kwa mwezi la sivyo utasimuliwa vingi
Ngoja niongezee kidogo, ni nyama iliyotiwa mazagazaga ya kutosha, maspices etc.Makange ndo nini?
Nilikuwa nataka kujua maana ya m akange ya kuku sijui ni kiungo gani na kwenye kiswahili sijawahi kusikia hili neno anyway karbu Upanga
HE HE HEEEE swali la muhimuMwandiko kama rayyoungr
Mkuu
are you sure wewe sio miongoni mwa makaka poa?
na ninaona watu wanaokunywa ni watu wenye akili zao sijui lkn kila mtu na anavyoona labda sbbu mm naingiaga mida ya usiku sana
kusukutua ni muhimuUnaendaga kusukutua?
east or west?Nilikuwa nataka kujua maana ya m akange ya kuku sijui ni kiungo gani na kwenye kiswahili sijawahi kusikia hili neno anyway karbu Upanga
MakubwaUkimuonaa mwanaume anapendaa saana kwenda la chalz sinza ujue naye ni mtumiaji wa mtandao wa goti manake pale ndo soko lao kuu zamani ilijulikana kama lavico .....So kuwa makini sio kilaa bar ya kuingiaa mjini ukienda pale kwa waanaojuaa wanajua kuwa ww ndo wale wale usishngae unafatwaa uanze kutukana tukana ovyo ndo bucha lao lili.....!!
Hata sasa niko La Chaaz.inawezekana Madame B
nan kasema la chaaz ipo mapambano? utakua umenichanganyaHata sasa niko La Chaaz.
Hapa hakuna makaka poa.
Halafu Chaaz haipo Mapambano, iko Mori..
Waungwana bar ndo iko Mapambano pamoja na bar kama 2 ambazo ndizo hizo zina makakapoa na hata mmiliki wake ni shoga.
Nahisi huyu ndo atakuwa anazisemea hizo
Ohh...shunie ntakuja ee..mwenyewe napendelea mbil tatu ujue ee[emoji3]ha ha ha njo usiogope mm nakaa apo nikishatoka mbali uko nakunywa mbili tatu naingia kulala
karibu sana mkuuOhh...shunie ntakuja ee..mwenyewe napendelea mbil tatu ujue ee[emoji3]
Itakuwa mteja mzuri sana weweUkimuonaa mwanaume anapendaa saana kwenda la chalz sinza ujue naye ni mtumiaji wa mtandao wa goti manake pale ndo soko lao kuu zamani ilijulikana kama lavico .....So kuwa makini sio kilaa bar ya kuingiaa mjini ukienda pale kwa waanaojuaa wanajua kuwa ww ndo wale wale usishngae unafatwaa uanze kutukana tukana ovyo ndo bucha lao lili.....!!
Nikishamwaribiaa nipate nn mimi ndo ninayejuaaa....Hao mnao waonaaa mahb sio wenzenu hamjiulizi mbonaa bar ina mahandsome kibao mnadhani wanakujaga kushindana uzur pale??ulizaa uambiweeeNi vita ya biashara, huyu ana lengo la kumuharibia mwenzake biashara
Eti kila weeknd mwenzio nipo kilaa sikuWe jamaa mwongo na nawaswasi utakua umekuja Dar siku zahv karibun .. pale kila weekend natiaga timu ila sijawahi onaga huo upupu
Eti kila weeknd mwenzio nipo kilaa sikuWe jamaa mwongo na nawaswasi utakua umekuja Dar siku zahv karibun .. pale kila weekend natiaga timu ila sijawahi onaga huo upupu