Peasant,
..ninachosema mimi ni kwamba ile occassion ya White House ilikuwa ni maalum kwa ajili ya Los Angeles Lakers.
..pale hapakuwa mahali pa Raisi Obama kuanza kulinganisha kwamba Phil Jackson kocha wa La Laker ana championships 6 alizopata na Chicago Bulls na 4 kutoka La Lakers.
..pia hapakuwa mahala pa kuanza kuwakweza Chicago Bulls na theatrical and unnecessary plays za Michael Jordan wakati akicheza dhidi ya La Lakers.
..Raisi alitakiwa awapambe wageni wake pale ambao walikuwa ni Los Angeles Lakers.
NB:
..Obama ana uwezo wa kuwaita Chicago Bulls na kuwapongeza kwa kufikia Eastern Conference Quater Finals after a very long "drought."
..Obama hakupaswa kuendekeza ushabiki wake wa Chicago Bulls siku ambayo it was supposed to be LA Lakers' day.
..Lakers ndiyo mabingwa, sasa ya nini kuwapotezea muda wao na story za Michael Jordan and his past domination over the Lakers?
Che Guavara said:Man, this is PR, part of President's job. Obama remains a fan of the Bulls.
Don't tell me that you are always a fan of the NBA Champions of the moment?
Even the New Jersey Nets (the worst team, currently with 3 wins & 40 losses) has a large fan base.
You don't stop supporting a franchise just because it's not a champion, as there's always ONE champion at a time.
Che Guevara,
..I never suggested that Obama should stop supporting, Chicago Bulls, his home state team.
..Obama was playing a bad host, and poor PR indeed, by talking about Chicago Bulls in a function especially arranged to honor the La Lakers, who are the current NBA champions.
..hata kule kwa Nancy Reagan alikuwa anatania pia.
..I am seeing a partern hapa ya Raisi kujisahau-sahau.
It's just a banter, nothing more! Take it easy JK!Peasant,
..ninachosema mimi ni kwamba ile occassion ya White House ilikuwa ni maalum kwa ajili ya Los Angeles Lakers.
..pale hapakuwa mahali pa Raisi Obama kuanza kulinganisha kwamba Phil Jackson kocha wa La Laker ana championships 6 alizopata na Chicago Bulls na 4 kutoka La Lakers.
..pia hapakuwa mahala pa kuanza kuwakweza Chicago Bulls na theatrical and unnecessary plays za Michael Jordan wakati akicheza dhidi ya La Lakers.
..Raisi alitakiwa awapambe wageni wake pale ambao walikuwa ni Los Angeles Lakers.
NB:
..Obama ana uwezo wa kuwaita Chicago Bulls na kuwapongeza kwa kufikia Eastern Conference Quater Finals after a very long "drought."
Wakuu Omega, Peasant et al,
Jokakuu hataki utani na timu yake pulizzzz!!!...😀
..JokaKuu, I will stay clear of comments maana naona mmmh!!!
Jokakuu yuko sensitive sana na habari za Lakers...
NB: Mimi nadhani King James is waaaay better than Kobe...[/QUOTE]
Dogo anamsogelea kwa karibu Kobe ila bado hajamfikia
Thanks Ab-Titchaz for the good presentation, you have made my day!!! Keep it up my pal.
Omega Psi Phi said:Mimi nadhani King James is waaaay better than Kobe
Nice pics, thanks. Hivi hizi picha huwa unazitoa wapi, huffington post au?