Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Picha ikimuonesha mshindi Peter Nyamayo baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Schiphol, Amsterdam nchini Uholanzi.
Pamoja naye yupo Rajab Chingongo ambaye pia ni mshindi wa shindano la AzamLiga lililowapa nafasi ya kushiriki La Liga Experience kutazama mchezo kati ya Villarreal dhidi ya Real Madrid Jumamosi hii.
Youssouf Sako, atakuwa na waigizaji José Loreto pamoja na Carol Castro wataungana na mtangazaji machachari Abuu Yusuf pamoja na Hemed Seif maarufu kama Hemed PhD watakaribishwa na mwenyeji wao André Linares kwa siku tano wakizunguka mitaa ya Valencia pamoja na Villareal.
Mbali na hivyo watapata nafasi ya kufanya mahojiano na wachezaji wawili wa Villareal Gérard Moreno pamoja na Pape Gueye, yote haya yataanzia kwenye dimba la José Manuel Llaneza, uwanja wa mazoezi wa Villareal.
Pamoja naye yupo Rajab Chingongo ambaye pia ni mshindi wa shindano la AzamLiga lililowapa nafasi ya kushiriki La Liga Experience kutazama mchezo kati ya Villarreal dhidi ya Real Madrid Jumamosi hii.
Youssouf Sako, atakuwa na waigizaji José Loreto pamoja na Carol Castro wataungana na mtangazaji machachari Abuu Yusuf pamoja na Hemed Seif maarufu kama Hemed PhD watakaribishwa na mwenyeji wao André Linares kwa siku tano wakizunguka mitaa ya Valencia pamoja na Villareal.
Mbali na hivyo watapata nafasi ya kufanya mahojiano na wachezaji wawili wa Villareal Gérard Moreno pamoja na Pape Gueye, yote haya yataanzia kwenye dimba la José Manuel Llaneza, uwanja wa mazoezi wa Villareal.