kwani kuwa ligi kuu ya hispania sio mchangani[emoji23] mbona waspanish wanaiona ya mchangani kama sisi tunavyoona simba na yanga.Isome vzr hiyo comments
Ungeisoma vzr ungeelewa, nimesema Madrid kwenye miaka 10 kachukua Mara tatu UCL ambapo ni sasa na Barcelona ambaye ndani ya miaka kumi hiyo hiyo kachukua Mara tatu. Ko kwangu hakuna kigenikwani kuwa ligi kuu ya hispania sio mchangani[emoji23] mbona waspanish wanaiona ya mchangani kama sisi tunavyoona simba na yanga.
ni sawa na simba kushinda ligi ya Tanzania bara afu yanga ashinde Club bingwa Africa huwezi fananisha
😀😀😀😀😀Hat trick ya jana unaweza kwenda nayo kazini leo j3 badala ya mafile
Makombe mawili. Rey and liga
Madrid ana nini???
Mkuu bangi za wapi hizi? Spurs kamfanya nini madrid?sio kwamba tunamuombea laah.ni katika hali ya kuongea ukwwl kwamba weng wenu humu kwny huu uzi ni mashabk wa fc bebwabebwa cc ata tukutane na liva hamna shida hakuna tim yyte ya england inaweza kufunga real na timu nyngne za Spain ww mwenywe shaid nani anaongoza kwa magoli ulaya [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] msimu huu ebu nikumbushe vile
Mkuu, sherehe itanoga J2 tukimpiga Real kwenye El Classico.Barcelona ndani ya miaka 10 wamechukua Laliga mara 7, UCL Mara 3,
Madrid ndani ya miaka 10 wamechukua La Liga Mara 2 na Uefa mara 3.
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania imetwaa rasmi ubingwa wa Ligi Kuu ya soka ya nchini humo bila kufungwa. Hii imefuatia ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya timu inayoteremka daraja ya Deportivo la Coruna ulioisha hivi punde. Kwa ushindi huo, wakicheza michezo 34, Barca wamefikisha alama 86 ambazo kimahesabu haziwezi kufikiwa na washindani wao wa karibu Atletico Madrid na Real Madrid.
Atletico Madrid iliyocheza michezo 35 ikiwa nafasi ya pili ina alama 75 huku Real Madrid iliyopo nafasi ya tatu ikiwa na alama 71 na kubakiza michezo minne. Katika mchezo uliowapa ubingwa Barcelona, Lionel Messi aka Andunje alifunga mabao matatu. Wakati wa mchezo baina ya Barcelona na Real Madrid tarehe 6 mwezi ujao, Real watalazimika kuwashangilia mabingwa Barca kabla na baada ya mchezo.
uyo spurz kwa ss yupo wapi uefa????Mkuu bangi za wapi hizi? Spurs kamfanya nini madrid?
Laliga kombe la wakulima Madrid wanachukua kombe bora Ulaya UEFAMkuu, sherehe itanoga J2 tukimpiga Real kwenye El Classico.
Anaechukua UEFA ndio yuko juu....Ronaldo ndio mchezaji bora wa DuniaMimi Kabla Ya Kuwa Mshabiki Wa Timu kwanza Ni Mshabiki Wa Mpira.
Kwahiyo Nasifia Panapostahiki na Ninakosoa Panapostahiki.
Last Season Mmorocco alikuwa Yupo Juu na Messi alikuwa Mdobwedo.
Lakini season hii Messi Yupo Juu na Mmorocco Ni Mdobwedo.
Kwahiyo sijilazimishi Kusifia Messi tu au Mmorocco tu! Bali Namsifia Aliye Kwenye Form Kwa Wakati Husika.
nimecheka sana kwamba kama Yanga wanafurahi kuendelea makundi wanasahau mwakani CAF out.Upe basi ubongo wako akili na kumbukumbu sio kikombe kimoja ni vikombe viwili!
Madrid bhana ka yanga wanafurahia kuwepo uefa ka wamechukua tyr sawa na yanga wanafurahia kuendelea makundi wamesahau kua mwakani hawaendi kucheza CAF
We ni chizi sio bure, umesema madrid hawezi fungwa na timu kutoka England sasa nakuuliza spurs ni ya japan?uyo spurz kwa ss yupo wapi uefa????
we Naituti nn ? sio lazima kureply coz huna adabu asa matusi ya nn? kama huwez kucomment kiadabu acha mihemkoWe ni chizi sio bure, umesema madrid hawezi fungwa na timu kutoka England sasa nakuuliza spurs ni ya japan?
Nawewe kama huna data usiandike uongowe Naituti nn ? sio lazima kureply coz huna adabu asa matusi ya nn? kama huwez kucomment kiadabu acha mihemko
Anaechukua UEFA ndio yuko juu....Ronaldo ndio mchezaji bora wa Dunia
Weee! Acha hizo mkuu.Laliga kombe la wakulima Madrid wanachukua kombe bora Ulaya UEFA
CHAMPIONS 2018[emoji41]Makombe mawili. Rey and liga
Madrid ana nini???