Ligi ya bongo unalinganisha na La Liga?Mkuu, sikulinganisha. Nimeuanika ukweli tu
kwanini isifanane mkuu zote ni ligi kuu alafu barcelona kama vyura sc yaani barca bila messi ni ushuzi mtupu na wale vyura nao bila mzee akilimali ni mimavi kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaLigi ya bongo unalinganisha na La Liga?
Hajalinganisha na La Liga, bali kila timu husika katika ligi yake, ikiwamo Ligi ya AlgeriaLigi ya bongo unalinganisha na La Liga?
Wasingeweza miaka 10Ile ya Tot nadhani walitaka kuzima mbio za Salah kupitia kwa Kane ikashindikana.
Kwahiyo Messi angezuia goli 5?!
Makosa yaliyofanyika mpaka kutolewa Uefa dhidi ya As Roma yamejirudia Jana,Kocha anastahili lawama zote huwezi kudharau mchezo/timu ilihali unatakiwa kulinda record...au najiuliza kama labda Barcelona wameuza game maana levante wameshangilia sana Na walikua wanachungulia kushuka daraja,Na kama ni hivyo itawacost barca ukilifanyika uchunguziMabingwa wa ligi kuu ya soka ya Hispania, almaarufu kama La Liga, jana wamejikuta wakipoteza mchezo wao wa kwanza kwa msimu huu baada ya kupokea kichapo cha mabao 5-4 kutoka kwa klabu ya Levante.
Pamoja na kiungo Phillip Coutinho kufunga mabao matatu, Barcelona walikubali kichapo hicho kutoka kwa Levante waliopo katikati ya msimamo wa ligi hiyo ya Hispania. Katika mchezo huo wa jana, Barcelona waliteremka dimbani bila ya Lionel Messi ambaye hakuwemo hata akiba.
Barcelona wameshaikosa nafasi ya kuweka historia ya kucheza La Liga bila kufungwa. Ingawa tayari wameshatwaa ubingwa, kuikosa rekodi hiyo ni pigo kubwa kwa Barcelona.Huo ulikuwa ni mchezo wa 37 kwa Barcelona.
Katika ligi zote, imebaki Simba SC tu isiyofungwa hadi sasa!
Nahisi game ilipangwa ili levante wasishukeDah Mechi moja mabao 9.
Dah Hizi mechi itakuwa walicheza Kamari jana.Scotland huko, rangers kamaliza game 5-5
Simba sio timu... Acha wivu wa kishamba.Acha kulinganisha Barca na vitu vya ovyo kama Mikia FC.
Mabingwa wa ligi kuu ya soka ya Hispania, almaarufu kama La Liga, jana wamejikuta wakipoteza mchezo wao wa kwanza kwa msimu huu baada ya kupokea kichapo cha mabao 5-4 kutoka kwa klabu ya Levante.
Pamoja na kiungo Phillip Coutinho kufunga mabao matatu, Barcelona walikubali kichapo hicho kutoka kwa Levante waliopo katikati ya msimamo wa ligi hiyo ya Hispania. Katika mchezo huo wa jana, Barcelona waliteremka dimbani bila ya Lionel Messi ambaye hakuwemo hata akiba.
Barcelona wameshaikosa nafasi ya kuweka historia ya kucheza La Liga bila kufungwa. Ingawa tayari wameshatwaa ubingwa, kuikosa rekodi hiyo ni pigo kubwa kwa Barcelona.Huo ulikuwa ni mchezo wa 37 kwa Barcelona.
Katika ligi zote, imebaki Simba SC tu isiyofungwa hadi sasa!
unaijua Nothenham forest...na walichokifanyaga arsenal...au wajitoa ufahamu tu ..mkuuTimu kumaliza ligi bila kupoteza mchezo wowote duniani.. Ni Simba SC. Wengine hawawezi
HAKUNA cha kuuza,kapigwa basi!Kwa Barca ya msimu huu Kufungwa walitaka wenyewe
Game zote mbili walizopoteza kuanzia ile ya Uefa dhidibyabAs Roma Na hii ya Levante ni kama barca hawakukaza..ki uwezo hapakua Na game ya kumshinda barca kama angeamua
Kadroo Na Madrid wakiwa nusu ni bado tu hakukaza au ndio wameuza game so unajua Spain?
Wao Nani?kumbuka barca hajafungwa kwa zaidi ya siku 380..!hiyo sio rekodi ya kawaida mkuu..HAKUNA cha kuuza,kapigwa basi!
Wao nani????!
Sidhani kama kuna kuamua kushinda au la! Walizidiwa mbinu n.a. jamaa walionekana kudhamiria. Pique,Iniesta n.a. Suarez (kutaja baadhi) walionekana kuchanganyikiwa na "kasi"ya madogo. Barca walitaka kuweka rekodi ya kutofungwa.Imeshindikana,wajipange kwa msimu mwingine! Kisicho riziki........!Wao Nani?kumbuka barca hajafungwa kwa zaidi ya siku 380..!hiyo sio rekodi ya kawaida mkuu..
Huyu ndiye Barcelona Na ametangaza ubingwa bila kufungwa!
Na hii ya juzi hakuamua kushinda kubali hivyo
Simba wananunua sana mechi.Simba sio timu... Acha wivu wa kishamba.
kama kuna timu nyingine ambayo haijapoteza itaje hatukatai.
Mimi nataja Simba sc from Tanzania