La Liga ndani ya Azam TV! Aksante sana Tido

La Liga ndani ya Azam TV! Aksante sana Tido

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Ndugu Dunstan Tido Mhando kweli ni mtu wa mageuzi kwa maendeleo. Hapana ubishi tokea aanze kazi Azam TV pamekuwa na mabadiliko ya kimuonekano na kivitendo kwa taasisi hii na mengi tunayasubiri hasa kwenye 'one na two', pawekwe Azam TV 1 na kuendelea. Jambo lililokuwa kubwa ni kutuletea La Liga. Kwa hili mzee wetu hatuna cha kukupa ila shukran nyingi na kukuombea kwa Mola akuzidishie afya njema na kila la kheri hapo Azam TV. Aksante sana.
 
Ni kwamba hiyo channel ya mpira unalipia 15,000 ,haijalishi umelipia Azam Play au vile vingine.Hiyo 15,000 ni kwa ajili ya hiyo channel ya mpira pekee
 
Ni kwamba hiyo channel ya mpira unalipia 15,000 ,haijalishi umelipia Azam Play au vile vingine.Hiyo 15,000 ni kwa ajili ya hiyo channel ya mpira pekee
Aksante mkuu kwa ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom