La Liga ni bora kuliko EPL

Epl wanachoshwa Sana na ratiba zao,ligi ngumu pia...mechi za mtoano Kama za ucl Zina mbinu tofauti
Licha ya kuchoshwa na ratiba,Lakini timu ya EPL ikikutana na timu kutoka La Liga mara nyingi timu kutoka La Liga Ina ibuka kidedea.
 
Mkuu La Liga ni ligi bora zaidi ya EPL, michuano ya UEFA inasupport hii hoja. EPL ni ligi yenye msisimko na ushindani tu lakini si bora kuzidi La Liga
Mbona unajichanganya sasa, la Liga huwezi kufananisha na EPL ni mbingu na ardhi
 
Chelsea anaweza kuwanyanyasa wote hao
 
Mtoa hoja anaona mechi 13 zinatosha kupima ubora wa timu
 
kwani viwango vya fifa vinapimwaje? unavoelewa wewe ndio unataka iwe hivyo?
 
La Liga ni bora

EPL ni pendwa
 
Vilabu kutoka La Liga ndio vimechukua makombe mengi zaidi ya UEFA. Unaposema La Liga sio bora unamaanisha nini?
Sema club sio vilabu vingi ni vilabu vipi hivyo mlivyochukuwa mataji mengi zaidi ya Real? Ubora wa kitu lazima kiende na thamani yake La liga imeachwa kwa mbali katika thamani ya kuuzwa tena mbali sana. Huwezi kuwa na ubora halafu thamani huna sema Real na Barca( walikuwa) hakuna team zaidi kutoka La liga tishio. PSG alikuwa na uwezo wa kuchukua sasa kesho tuseme ligue 1 bora. Kwa ufupi kibora lazima kiwe na thamani huwezi kununua NIKE original kwa bei za kariakoo.
 
[emoji23] hebu kuwa serious mkuu, Real Madrid peke yake wamebeba UCL 14 ambayo ni zaidi ya makombe yaliyobebwa na vilabu vyote vya Uingereza. Sasa hiyo EPL ubora wake ni upi?
Acha kujidhalilisha angalia top ten ya waliobeba makombe ya UEFA uniambie EPL imetoa timu ngapi na hao la ligwa wametoa timu ngapi
 
La Liga ni bora

EPL ni pendwa
Labda DSTV ngumu kwako nadhani La liga unaitizama Start times huwezi kulaumiwa wala usitumie nguvu pata burudani tu. Kwa hiyo mwakja jana ilikuwa EPL mwaka huu La liga labda mwakani France labda...
 
Nasikia Coastal wamingia Final sasa sijui nao ni bora kuliko Azam na Simba?
 
Epl wanachoshwa Sana na ratiba zao,ligi ngumu pia...mechi za mtoano Kama za ucl Zina mbinu tofauti
We jamaa upo sahihi kabisa, chuku timu kama real Madrid leta EPL halafu icheze mechi za ligi, carabao, fa na UEFA kama haijamaliza ligi nafasi ya 10 na UEFA akatolewa mzunguko wa kwanza [emoji28][emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani ni ligi ya timu mbili Barcelona na madrid ndio maana haifuatiliwi sanaaa

Ligi ya ajabu ajabu
Haifanyi promotion kama EPL inavyo fanya.Ndo maana EPL Ina fatiliwa sana.Lakini uwanjani timu za La Liga na EPL zikikutana mara nyingi mshindi huwa anatoka La Liga.
 
EPL inaushindani mwingi kuliko la lilaga ,

auwezi tabiri mshindi Epl
Lakini laliga kama sio Réal Madrid ni Barcelona ndio atakuwa mshindi kila mwaka

ila Epl utakuta
LIVER
M.CITY
CHELSEA
TOTHENAM
M.UNITED
Wala usitumie nguvu na hawa wateja wa star times ukitaka kuona EPL ni mwendo wa dola 50 kwa mwezi league ziko nyingi kuna watu huwaambii kitu na league ya Voda haki yao sio lazima sote tupende kitu kimoja ila facts ziko wazi huwa tunaamini kilicho bora na thamani yake inakuwa juu changanya la liga+ Bundesliga+Seria A ndio thamani ya EPL kwenye revenue.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani ni ligi ya timu mbili Barcelona na madrid ndio maana haifuatiliwi sanaaa

Ligi ya ajabu ajabu
Haifanyiwi promotion Mkuu ukilinganisha na EPL.Lakini uwanjani uwezo una onekana yupi ni best.

Ni Sawa na Tecno kuwa maarafu sana na kutumiwa na wadauu kuliko Samsang halafu useme Tecno ni bora kuliko Samsang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…