Mtoa mada unatumia hoja dhaifu sana. Umeshindwa kutofautisha la liga na real Madrid. Wachangiaji wamejitahidi kukuelimisha lakini bado umekaza fuvu!
Ligi yako ni ya team 2 (labda na Atletico kwa mbaliii!!) tangu nimeanza kujitambua.
Maana ya ligi ni ushindani na si kutoa team moja iliyo bora. England hata championship tu tungekuwa na access Nina hakika bado ingekuwa tamu kuliko la liga. Sioni tofauti kubwa kati ya la liga na hii ligi ya bongo, German, na France.
Kuhusu Real Madrid wala siwezi kukupinga.