Tatizo lako kubwa umeanza kufatilia mpira juzi na unaongea kishabiki sana,angalia statitics za UCL Kati ya Laliga na EPL
Katika miaka 57 ya UCL ni timu 2 za SPAIN tu ambazo zimechukua UCL,Real Madrid na Barcelona,Madrid amebeba mara 9,Barca mara 4 kumbuka Real Madrid amechukua mara nyingi sababu alichukua kombe miaka 5 mfululizo wakati kombe limeanzishwa (1956,1957,1958,1959 na 1960) kipindi ambacho timu zilikuwa chache na hakukuwa na ushindani
EPL timu 5 zimechukua UCL, Liverpool-5,Manu-3,Notingham Forest-2,Aston Villa-1,Chelsea-1