Hata vs Man Utd,Arsenal,Man City,Ac Milan nk wanafunga kina Messi na Ronaldo.Nataka nikufahamishe kwa sasa Real Madrid na Barca ni kali sana tofauti na nyuma,ndio maana Ronaldo na Messi wapo juu,sio Spain dunia nzima usiombe kukutana na timu hizi mbili el clasico.gutierez
Tatizo lako kubwa ni kujifanya unajua sana,wenzio hawajui,nafatilia La liga since late 1999 na ni mshabiki wa Barca kwenye La Liga but naongea ukweli sina ushabiki wa kinafiki kama wako.
Kulikuwa na kipindi ukiangalia game za Depor,Valencia,Zaragoza VS Barca/Madrid game zinakuwa na upinzani na ni ngumu ku-predict matokeo lakini sasa Barca/Madrid wakicheza unajua kabisa Barca/Madrid wanashinda na Messi/CR7 watafunga