La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

Shukrani sana mkuu..

Genge la El Chapo (Sinaloa Cartel) bado lipo ingawa haliko strong kama alipokuwepo mwenyewe kabla hajakamatwa.. Kwa sasa kimegubikwa na vita ya ndani kwa ndani ya wenyewe kugombea madaraka ya juu ya kuongoza genge.!
Naona madawa hayatakaa yakaisha huko mexico,tatizo nchi wanazozalisha hayo madawa kama colombia,peru,serikali zao wala hazina mpango wa kumaliza kilimo hiki wanasema mdomoni tu,nao wananufaika nayo
 
Shukrani sana mkuu..

Genge la El Chapo (Sinaloa Cartel) bado lipo ingawa haliko strong kama alipokuwepo mwenyewe kabla hajakamatwa.. Kwa sasa kimegubikwa na vita ya ndani kwa ndani ya wenyewe kugombea madaraka ya juu ya kuongoza genge.!
Ivi escobar alikufa na genge lake au bado lipo
 
hakika umeandikwa katika uelede wa hali ya juu. wakati mwingine niwepo kwenye tag mkuu. mwenyewe nafuatilia sana stor zako
 
[emoji29] [emoji29] [emoji29] [emoji29]
Thanks kwa makala nzur
Uje utupe mwenendo wa el chapo pia
 
Wanaofanya biashara hii....drug lords,huwa wana akili nyingi sana....za ziada,mtu wa kawaida hawezi hii kasheshe
 
Los ZEDAS
 
NI TAG NA MIMI MKUU
 
Ndo maana sie wenye akili zetu za kuwajua hawa jamaaa tunamshangaa mtu anaejigamba kuisambaratisha biashara hii... Haya Asante sana mkuu.. Mme halali wa Niffah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…